Search results

  1. TZ kwanza

    Matangazo kwenye Email

    Ndugu zangu nimekuwa nikitumiwa matangazo mengi ya biashara kwenye email yangu kutoka kwa makampuni ya biashara, watu binafsi nisio wajua.Kumbuka sijawah kujiunga nataasisi hizo wawe wananitumia hayo matangazo. Nifanyeje nisipate hizo info kwani zinanikera sana napengine naona kama Email yangu...
  2. TZ kwanza

    Pesa kwa ajiri ya muhuri

    Ndugu zangu napenda kusaidiwa, hivi hela anayoombwa mtu kipindi anapoenda kuomba barua ya utambulisho kutoka ofisi ya serikali ya mtaa au mjumbe wao wanaiita "HELA YA MUHURI". Hii kisheria inatambulika kweli? Na kama ipo mbona ofisi za mitaa mingine hawaombi? au wao wana source nyingine...
  3. TZ kwanza

    Resignation

    Msaada wadau,kwa mtu aliyekuwa anafanya kazi kampuni fulani lakini akaamua ku "Resign" kwa notice ya mwezi mmoja ( kufanya kazi bila malipo ndani yahuo mwezi) sababu kuu ya kuacha kazi nikuwa nafasi aliyoajiriwa nayo ni ndogo kuliko elimu yake, sasa ikatokea kampuni hiyo baada ya mwaka...
  4. TZ kwanza

    Miaka 50 ya muungano na mavazi yetu

    Ndugu zangu historia inaonyesha kuwa hapo awali kabla mkoloni hajaja africa,waafrika tulivaa magome ya miti tena tukufunika sehemu fulani fulani tu za mwili na pengine baadhi ya jamii waliishi uchi kabisa.Lakini wakoloni wakatuletea nguo na mpaka leo tunavaa kufunika asilimia kubwa ya miili...
Back
Top Bottom