habari zenu, nina shida ya chumba cha kupanga(self) maeneo ya mwenge,sinza,makumbusho,victoria,ubungo.
kiwe na umeme na maji.
bajeti yangu ni 100,000.
NB: Kodi miezi sita.
asante.
habari zenu wanajamii, mimi nilikuja hapa kuhusiana na kazi za IT na nilipewa maoni mengi tu nashukuru sana, ila kitu nilichojifunza ni kwamba tusichague kazi jamani.chonde chonde graduates wenzangu. Mimi nilipata kazi sehemu kama receptionist kwa kipindi cha nwezi mmoja tu, mshahara ulikua...
Mbona naona kama these agencies are not helpful jamani, mtu unasambaza CV kote ila none of them hata kuita kwenye interview does it mean mimi sina kigezo hata kimoja katika hizo kazi wanazoletewa au ni nini? Yaani sijui maana ya kusoma sasa, ukiwa fresh graduate bila expirience you are in...
Wanajamii jamani, nina shida ya kibarua cha IT jamani.. anybody mwenye kuweza kunisaidia tafadhari, hata kunishika mkono mahali. hasahasa networking sector
nashukuru sana.
habari zenu wakubwa, nilitaka kujua mshahara wa IT administrator in average ni kiasi gani kwa yeyote anaejua. I mean inarange kiasi gani.
natanguliza shukrani!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.