''na
unaweza ukabahatika
baada tu ya kuapishwa
kumaliza mafunzo yako
ya jkt ndani ya mwezi au
miwili ukifanya vzr usahili
wanakuchukua''
Swali langu ni kwamba hayo mafunzo yanachukua miezi mingapi!?
Haya bhana tunashukuru kwa taarifa japo kwa tulio wengi itatuumiza lakini bado nahisi kuna utata maana hata wengine waliopo huko wanatuambiaga utaratibu ulio kinyume na huu uliotufahamisha wewe so tunashindwa wapi pa kuamini ila all in all we are waiting for de posts,vyovyote zitakavyokuja...
Hivi hiyo officer cadet ni kuanzia ngazi ipi ya elimu,certificate,diploma au degree?,
nijuzeni bhana mana mi nahitaji kuja huko na ni ndoto yangu toka kitambo ila ndo sielewielewi..
Umefanya jambo la busara sana ndugu yetu na tunakushukuru sana kwa hilo bila shaka hata zikija kutoka rasmi utatujuza mapema kabla hata hatujachungulia magazetini..
Ushauri wako mzuri sana aisee hao wanaoukashfu ujue nyumbani kwao mambo safi kutwa wanagalagala kwenye masofa na kubadili mikao tu huku kila tym ya msosi wakiitwa kuchukua chakula tena bila masimango yoyote.
Hawajajua kuna watu mda wote vichwa vina'find out where could be de solution,every...
Sidhani kama kuna haja ya kupondana eti kwa nini mtu anataka kwenda JW kwani kwenye maisha si kila mtu ana malengo yake jamani!
Respect yourself bhanaa..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.