Kwa wadada wengi huwa ni tamaa ya pesa, ila wengine ni tabia.....
umbali pia unachangia kama atashindwa kushindana na vishawishi na kujali kuwa ana ndoa anayotakiwa kuitinza na kumuheshimu mume......
Uaminifu katika mapenzi cku hizi umekuwa mdogo sana......Wanawake wengi wana hofu ya kuchezewa tu na kuachwa and infact they loose more kuliko wanaume pale penzi linapovunjika (kwa wale wanaojali). Cha muhimu ucweke mazingira ya mwanamke kuhisi unamchezea au upo nae kwa muda tu afu umuache, na...
Ni ajabu sana.....Tunahitaji kubadilika kwenye hili...
Na cha ajabu zaidi hizi harusi za millions of money za cku hizi nyngi hazidumu hta miaka miwili...
If u love him madam go ahead....I remembr my primary ticha once told me for a rshp to last u shud at least hav ur ages differ.....And in most cases a man shud b the 1 with mo ages......wat matters z love..
Liache hilo boya..........huko mbele mambo yakimuaribikia atakuita mvivu usiyejua kutafta,,,huwa wana tabia kama ya vinyonga yakubadilika ovyo.........afu atakuendesha na hivyo vijisent vyake atakavyokupa wakati we huna kitu....AMKA MAPEMA NA USIWE BLINDED BY LOVE....
haya ni matatizo ya kufanya compromise kwa watu wengine pale tunapotendwa na wapenzi wetu wa awali.......that means her current husband is a compromise of her previous lover.....i am not judging her bt seriously that sounds stupid and absurd.......
from this thread and the comments wana CCM utawajua na wana CHADEMA utawajua......i cant wait for 2015,, anyways lets learn from the KENYAN electiion mistakes na sio kuvurigiana.....
Wanaume kama nyie kumbe bado mpo Dunia hii??????kiukwel wanaume wamekuwaga wa kwanza kudai tendo hilo kabla ya ndoa.....am realy suprised kusikia msimamo wako...Heshimu msimamo wako Mkuu, if she loves you she will respect that and if not let her quit.
halafu hii tabia ya kuunda tume/timu za kuchunguza maovu yanayotokea kwenye hii nchi inazidi kuturudisha nyuma kwani hizi timu/tume huwa znaficha haya maovu.........Daudi mwangosi, Ulimboka, Matokeo ya form 4 na vingine vingi vimeundiwa tume za uchunguzi lakn the funniest thing no answers were...
teh teh teh..............mbona wanaume wana mavitambi makubwa na hatusemi??????kama kuwa na tumbo kubwa sio dhambi na hakuna maumivu yoyote kwanini wajisumbue kulipunguza????
WANAWAKE WENYE VITAMBI WOTE BE PROUD OF WHO YOU ARE.....
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.