Nahitaji kuchukua mkopo mdogo hapa ofisini, sasa kuna form za wadhamini kama mbili ila anatakiwa mtu anayefanya serikalini au kwenye shirika kubwa linalotambuka. Mkopo ni mdogo tu na ni hapa hapa ofisini ninapofanyia kazi sio kwenye taasisi za mikopo. Unaweza kuja kuhakikisha ninapofanyia...
We ni mpumbavu, kwaku wa huna mtoto ndio maana huna uchungu hata kidogo. Utasa sio kosa lako dada, endelea kumuomba Mungu utabarikiwa na wewe, siku moja utakuwa na uchungu na matukio kama haya.
Dah pole sana ila kwanini tangu mwanzo hukwenda polisi? hata kama polisi hawana msaada ila ni muhimu kutoa taarifa, pia wakati mwanao amelazwa ungepaswa kufanya kama hivi ulivyofanya sasa, Pole sana naamini utapata haki yako na hiyo shule watachukuliwa hatua,. HUU NI UPUUZI WA HALI YA JUU, Kila...
NJAA MBAYA, watu kama nyie hata vyeo hampewi maana hata huyo unayemfanyia uchawa anaona aibu. Uchawa wako umezidi, tafuta kazi dada(kama sio dada nitashangaa).
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.