hizi ranking nani kaziandika na kutumia vigezo vipi?. maana bila ngorongoro ni uongo mtupu, ngorongoro inapokea watalii wengi kuliko hata katavi, halafu haipo. Atakuwa mtu kajichimbia ndani katengeneza hii orodha.
Majibu :
Mzee Mwanakijiji nimepata barua yako na napenda kukujulisha kuwa "Nimekuteua rasmi kuwa mkuu wa mkoa wa mitandao wenye wilaya za facebuku , twita, instagramu, jamiiforumu, n.k. Uteuzi huo unaanza mara moja na utaapishwa leo usiku kwa kutumia skype.
Wako msemaji wa Rahisi.
limetumbuka,
umenifurahisha sana ndugu yangu saaana tu, kati ya michango nilioiona ya maana mwezi huu ni huu wako.
Mimi kwa kukolezea tu niseme hakujawahi kuwa na nchi duniani inayotumia rasilimali zake kusomesha watu wake ili wakafanye kazi nje. Nia ya serekali nikuelimisha watu wake waelewe...
ndio maana nawaheshimu wachina, ingekuwa limetokea kwao, ungekuta makampuni kibao ya kikenya yanakesi tayari wikii hii zinanguruma kwenye vyombo vya habari na mahakamani kama za kodi, antcompetative na nyinginezo. Na mngekuta bidhaa zote za kenya haziuziki shauri ya kodi kubwa. Huwa hawapepesi macho
Hii ni fedheha, lakini pia hata hizo nguzo za zege lazima zitengenezwe na watu kutoka nje?. Nguzo za zegeeeee?. Jamani hii sasa basi, mbona kuna magorofa mengi sana yananguzo hizo nguzo za majengo yote hapa tz zimetengenezwa na wachina?
kula tano mkuu, viongozi wa nchi hii ni kama genge la ulaji tu.
Nchi inaendeshwa kwa matukio. Ikitokea njaa inakuja kilimo kwanza, mara watu wanaongezeka, zinakuja shule za kata. Shule za kata zinakuja hakuna walimu, wanasomesha walimu kwa kasi. Kagame anapiga mkwala wanaanzisha jkt.
Hakuna...
Hizi silaha zinazoporwa bila shaka zinaporwa kwa shughuli maalumu
Serekali inakanusha, labada ni mkakati wa kulinda upepelelezi.
Nahisi kuna kitu kibaya kinakuja kuikumba nchi hii, serekali ichukue hatua haraka.
Waweke siasa pembeni, Mh Raisi tunakusihi chukua hatu kuiokoa nchi yetu.
Hivi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.