Habari za mida wakubwa, nataka niende makumbusho ya taifa ila sipafahamu. Kuna mtu ameniambia iko Mwenge pale Makumbusho, mwingine kasema iko Posta, sasa wananichanganya nashindwa kujua wapi ni wapi. Pliz kwa unayefahamu naomba uniambie ni wapi na unipe direction.
Habari za mida wakubwa, kuna rafiki yangu meno yake ya mbele yamepasuka/yameoza, hivi kuna uwezekano wa kuyajaza au magego tu ndo huwa yanajazwa? Naomba kujuzwa...
Habari za mida wakubwa, naomba kusaidiwa katika hili.
Kuna rafiki yangu mmoja ambaye tulikua tukifanya biashara pamoja na kutokea kuaminiana sana, kuna kipindi biashara yake iliyumba kidogo ikabidi anikope mimi hela, nilimkopesha shilingi laki nne bila mshahidi wala kuandikisha popote kutokana...
Nlikua najaribu kulipa loan application fee ya HESLB kwa M-pesa (Tshs 30,000). Sasa wakati nikifata process kuna mahali wakaniambia "Ingiza namba ya kumbukumbu." Mimi hiyo namba ya kumbukumbu siifahamu naomba kujuzwa please...!
Habari za mida wakuu,
Kuna mdogo wangu alimaliza form 4 mwaka juzi akapata division 4 ya point 29, alikaa nyumbani mwaka mzima.
Mwaka huu ameamua kutafuta chuo, ila kwa bahati mbaya kwenye mazingira ya kutatanisha amepoteza cheti..!!
Naomba kujuzwa wakubwa ni utaratibu gani anatakiwa...
Habari za mida wakubwa, naomba kujuzwa namna GPA zivopatikana (namna ya ku-calculate GPA).
Pia naomba kujua first class GPA yake ni ngapi, second class, lower second n.k...
Do it 4 me pliz...
Habarini za jioni wakubwa, nina mwanangu mdogo wa kiume mwenye umri wa miaka mitatu na nusu.
Huyu dogo kiukweli simuelewi naona kama mambo yake ni ya kikekike, mara anabeba midoli mgongoni kama mtoto, ukipigwa muziki, staili yake ya kucheza anajibinua anacheza kama anataka kubambiwa, mwenzake...
If someone is in need of being a lecturer, what are the steps he/she is required to follow...? Including what fuculty in university level one is required to take...? Pliz help...!!
Kuna ki2 kidogo kinanitatiza jamani, hivi vikundi kama M23, LRA, n.k vinatokea vp ktk nchi? Ni vyama vya siasa au ni kikundi kinaibuka 2 from no where? Na inakuaje mpaka kinakua kinamiliki jeshi lake within the same country? Na nilikua na wasiwasi mwingine kwamba vyama vyetu vya siasa(upinzani)...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.