Je wanawake wanaweza kufurahia mahusiano mapya ya wenza wao walioachana?
Kwa watu wenye mahusiano au wanandoa kuachana ni jambo gumu sana katika Maisha hususan kwa wanawake hasa ikiwa katika mahusiano hayo au ndoa hiyo kuna mtoto. Ni jambo gumu kwa sababu kwa mwanamke atalazimika kuwa na...
Unatakiwa kutuma TZS 22,000/= kwa Tigo Pesa 0715729292
Kitabu TZS 10,000/=
Kutuma Mwanza kwa Basi TZS 10,000/=
Ya kutolea Tigo Pesa TZS 2,000/=
Jumla itakuwa TZS 22,000/=
Mkuu namba zangu ni hizi hapa:
0715729292
0752729292
0782555709
Pia unaweza kukipata pale Dar Free Market kwenye duka la kuuza vitabu vya sheria ghorofa ya kwanza frem za mbele
Nimekuwa nikihudhuria sherehe mbalimbali za harusi hapa jijini Dar ambapo nimekuwa nikishuhudia vijimambo mbalimbali vya kufurahisha na wakati mwingine vya kusikitisha.
Nakumbuka Niliwahi kuhudhuria sherehe ya harusi ya jamaa mmoja ambaye nadhani hali yake hali ya familia yake kiuchumi haikuwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.