Mirathi lazima ifunguliwe.
Kikao cha ukoo kinatakiwa kiteue msimamizi wa mirathi hiyo,muandike muhtasari.
Nendeni mahakamani kufungua shauri la mirathi ambatanisha hati ya kifo na muhtasari wa kikao cha ukoo.
Huo ndo ushauri wangu.
Huyo Lusekelo hata haeleweki ni kama maji ya kuoga siyo ya moto wala ya baridi.Anajitahidi sana kuwa kote kote ili watu wa dini zote wamkubali jambo ambalo ni unafiki na anaishia kupotosha waumini wake.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.