Sony xperia v ,new ,water and dust resistance , 13 megapixels
3g ,4g .....................ni kali kabisaa
0778 619 619
0655 619 618
tafadhali mwenye kutaka kununua pekee anaweza kunigigia. LAKI 6.5 TU WAKUU
Biashara hiyo ni nzuri, ila inategemea na eneo uliopo, ila usisahau kila biashara inachangamoto zake. Kwa mfano biashara hiyo ya kuchezesha video games.
Jambo la kwanza la kufkiria ni je eneo uliopo linaruhusu kuanzisha biashara hiyo. maana kuna baadhi ya maeneo wazazi hawapendelei kabisa...
Wakuu naomba msaada tafadhali
mimi nimhitimu wa kidato cha nne mwaka 2012.
Nimebahatika kupata division 2.
Ninapendelea kusoma comb ya pgm,
shule gani ya serikali naweza kupangiwa, au hakuna comb hiyo serikali??????????
Naomba msaada tafadhali kwa anaefahamu, na ushauri wenu
WAKUU kuna tetesi matokeo ya kidato cha nn4 kutangazwa leo mchana,
pia inasemekana yatakua na kiwango cha ufaulu kikubwa kulinganisha na mwaka uliopita,
tukae mkao wa kula ubwabwa leo hiiiiiiiiii..
wakuu
naomba msaada wa taarifa juu ya bajeti ya wizara ya elimu na mafunzo ya ufundi
inawasilishwa lini??????????
MAANA KUNA TETESI KUWA MATOKEO YA KIDATO CHA NNE NA CHA SITA 2013
YATATOLEWA BAADA YA KUPITISHWA BAJETI HIYO huko bungeni.
naomba kupewa taarifa kwa anefahamu juu ya hilo.
ahsanteni
HELLOW
DAIHATSU MIRA 2003 ,GOOD CONDITION.AC,RIGHT HAND,AUTOMATIC,NO DAMAGE ,EXELLENT CONDITION
100 PERCENT NO ANY PROBLEMS, VERY VERY CHEAP,JUS AROUND 5.3MILLIONS AMAZING PRICE.
Contact,.... ebayzanzibar@gmail.com ,0778 619 619 .very cheap ,contact for more info and PICTURES,
JUS ARRIVED...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.