Hii nchi imeoza Mh. Rais kuhusu majipu hadi unamaliza miaka yako 10 hutayamaliza, Madudu ni mengi na Issue ni Mindset ya kila mtanzania ndio iko affected na mauozo na tumeyahalalisha na kila mmoja anawajibika kwenye sehemu yake...
USHAURI: JPM atoe probation ya maybe 6 months ya kila mtu...
Jamii ya waafrika imezidi kudhoofishwa na kudumazwa kifikra indirectly kwa kivuli cha "Maendeleo" na Usasa. Wazungu au wa Magharibi wamekwa wakitumia sana njia ya utandawazi kupandikiza na kueleza ubora wa maisha ya watu wao especially maarufu kupitia Muziki, Soka na hata filamu, hii imepelekea...
Ila Edward Ngoyai Lowasa ameniinspire kiukweli kabisa..very Inspirational...hii hustle yake ya Uraisi ukiexchange kwenye harakati zetu za Maisha ya kila siku, Lazima utoboe..njaa utazikia kwenye taarifa za habari. Hii ni "Get Rich or Die Goddamn Tryin" :)
Imepita miaka 16 since Andre Young almaarufu Dr. Dre alirelease album yake ya Chronic.Sasa baada ya miaka kadhaa ya kusubiri bila matumain album yake ya mwisho aliyoipa jina la Detox, Instead Sasa ameibuka na kurelease his final album inayokwenda kwa jina la Compton itakayoambata na movie ya...
Enzi za 90's ilikuwa ukiharibu utasikia mshua anang'aka nenda kalete fimbooo hapa na kweli unaenda unaisaka huku chozi linakutoka na kujitilisha huruma unaipeleka na unatandikwa balaa..ila Kizazi hiki cha leo ukitoa hiyo amri utaenda kutangaza upotevu wa mtoto kwenye JIJI LETU saa 12...Kizazi...
Salama
Ushauri kwa wasanii wa bongo flava, ama hakika huu ndio muda wenu wa kupiga hela. Acheni uboya na njaa wapandishieni dau hao wagombea,muwapige hela nyingi hao wanasiasa. Wasiwatumie tu kibwege ----- mwisho wa siku ikala kwenu. Pakutokea ndio hapa, wakiingia madarakani hawanaga msaada kwenu.
Serikali imeshawazoea wanafunzi,walimu,madereva na madaktari kwa migomo yao sugu ambayo wamekuwa hawapati ufumbuzi..But huu wa walemavu wa karume Serikali mmeingia kichwa mtaumbuka ss. Hawa macomrade nawaaminia Coz wasifu wao ni wenye misimam,wabishi,hawapelekeshwi na vagi lao lazima ukae..City...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.