Wakuu kheri ya mwaka mpya 2015, baada ya kukaa kimya mda mrefu sasa nimerejea kwa kasi kasi ya ajabu, nitakuwa tofauti sana na mwaka uliopita. nitasoma maada zote za wadau na nitauliza maswali mengi hii yote ni kutaka kujua mengi,
maswali yangu
nimesikia kuna shule moja inaitwa embaruway ipo...
mapema wiki hii nilinsikia naibu waziri wa tamisemi anayeshughulikia elimu ndugu majaliwa akiuhadaa umma kuhusu mishahara ya walimu wapya, alisema walimu ambao hawajapata mishahara ni kea sababu wamechelewa kuripoti kwenye vituo vyao vya kazi. hii ni kweli wadau? kweli ccm ni sawa na ukoo wa...
wakuu habari zenu. mimi ni mhitimu wa shahada ya Elimu mwaka 2013 nimespcialize hesabu. kama kuna shule binafsi wanahitaji Mwl mweye sifa kama zangu tuwasiliane inbox. nipo tiyari kuweka mkataba wa miaka mitano. nimechoshwa na ahadi za ajira mpya.
Baadhi ya Wajumbe wa kamati ya kuchunguza matokeo mabaya ya kidato cha nne iliyoundwa na mh pinda walibabaini kuwa ,
kiwango kidogo cha Elimu(diploma) kwa wakuu wa shule ni Moja ya sababu iliyochangia matokeo hayo. Lakini baadae mhe rais alimteua naibu waziri wa elimu mwenye Elimu ya diploma...
wadau poleni na majukumu ya kila siku, mi ni mwalimu nimejiendeleza kutoka vodafasta hadi shahada, masomo MATHEMATICS AND ECONOMICS nimemaliza chuo kikuu mwaka huu, nimerudi kituoni kwangu shule mojawapo mkoani shinyanga, Kwa kweli mazingira ya kufanyia kazi ni magumu hakuna nyumba ya kuishi ...
WAkuu nimemsikiliza Naibu waziri wa elimu mh Mulugo akiwa tbc fm kuanzia saa tatu usiku huu, ni kweli anachokiongea hakuna jipya, R.I.P jackson Makweta waziri wa elimu kipindi cha mwl hawa wengine hohehahe.
Wakuu Rais wa kenya Uhuru kenyata ameiponda serikali ya Tanzania kwa kuwa tegemezi kwa asilimia 40, ni mahojiano kati ya Dr Mwangi katika chuo cha KENYATA UNIVERSITY.
Wakuu, mi nilikuwa mwl wa vodafasta, nilikuwa nafundisha Hesabu, baadae niliamua kujiendeleza na elimu ya chuo kikuu, baada ya kuondoka katika kituo changu cha kazi niliicha majonzi mengi kwa wanafunzi, Mimi na mwl mwingine tulikuwa tunalimudu sana somo la hesabu, walitutegemea sana hata shule...
Wanajf, Lyabusalu secondariipo moa wa shinyanga km 45 kutoka shinyanga mjini, tangu ianzishwe mwaka 2007 haina jengo la utawala, mkuu wa shule na walimu wanakaa kwenye darasa moja, hii ni moja kati ya shule nyingi za kata tanzania,
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.