Hbr wana jf, naomba kujuzwa jinsi ya kuitumia maana kila ninapoifungua nashindwa kulog in maana inafunguka moja Kwa moja ktk forum na ndiyo maana napata SMS kutoka Kwa admistrater kuniuliza ww ni nano sb najua siku sign in
Mm mkuu umesomeka sana, nafikiri chama wameshaliona hili nataraji watachukua msimamo mkali kuhusu mchakato unavyoendelea na ikishindikana wahamasishe wtz kuupiga wakati wa kura ya maoni.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.