Mimi ni mwalimu wa sekondari nipo biharamulo mjini nahitaji mwalimu wa sekondari aliyepangiwa dodoma anayehitaji kuhamia biharamulo tubadilishane kituo cha kazi kwani mimi nahitaji kuhamia dodoma.tuwasiliane kwa 0762883206
Mimi ni mwalimu nilipangiwa biharamulo mjini nahitaji kuhamia dodoma hivyo nahitaji mtu anayetaka kuhamia biharamulo tubalishane nae.namba yangu ya simu ni 0762883206
Sisi wafanyakazi wa college of humanities and social science (udom) tunasikitika kudhulumiwa pesa zetu tulizo ambiwa na prof mwamfupe(ambaye alikuwa acting principal) tujitegemee kwa chakula wakati wa zoezi la kuwapokea first year ambazo aliahidi mara baada ya zoezi kumalizika tutarudishiwa pesa...
Hajalipa hela ya registration kwa wafanyakazi wake .wenzake wameshalipa yeye anaogopa kwani anabembeleza kamkataba kake.Kwa nini hakujipanga kimaisha kabla hajastafu?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.