I may not know so many things. Lakini najua Kibaki alisimama sana kuimarisha uchumi wa Kenya. Na ni vuguvugu hilo lililobadilisha siasa za Kenya hata leo. They are running! Sisi bado tunajishawishi kama tunataka kutembea au lah!
Yericko Nyerere
Inawezekana unayoyasema yana ukweli ndani yake. Ila nikuulize swali. Umefanya tafiti ukapata maoni ya wanazuoni wangapi kuhusu katiba mpya? Umejiuliza katika mabaraza yaliyoitishwa na chuo hiki nini ilikuwa misimamo yao?
Tafuta kitabu kilichotolewa na Shule ya Sheria ikijumuisha...
Hakuna dini yeyote ya Kikristo isiyotaja ubatizo. Ubatizo, uwe wa maji mengi au machache ni alama muhimu katika imani y Kikristo. Mambo ya mwenendo wa kanisa au uzembe wa watendaji yashughulikiwe kama hivyo na sio kuwa na general assumptions.
Can Tanzania stand without Kenya? I bet yes! Then we should show them a goodbye hand. The only problem is like Kenya has invested a lot in Tanzania. And I think the moment we close the shop with them, they are doomed!
Tatizo ni kuwa ukisoma ushahidi utaona walikuwa na hatia. Sasa kina babu Seya walipaswa kujitetea kuweka mashaka ktk kesi ile. Kusema tuu huwezi kusimamisha haikutoi hatiani
Step ya kwanza ulokosea lara ni kuamini kuwa mapenzi ni kuchomeka na kuchomoa. Hiyo si sawa. Sex (the act of) ni sehemu ndogo lakini muhimu sana katika suala Zima la upendo. Sasa alichokisema gfsonwin name nikamuunga mkono ni kuwa kama mnapendana mtasaidiana, kufundishana na kuelimishana. Kama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.