kwa akili yangu ndogo! naona umefika wakati sasa tuwe na tabia ya kuwa na capacity building kwenye institutions zetu. tusiwe na mawazo kuwa asipokuwepo mtu fulani hakiwezekani. vijana wapo wenye uwezo wa kutosha, let the institutions give them support. kwa nini wenzetu waweze sie tushindwe
Bongo hakuna siasa! Ni kelele tu za watu wanaotaka kula ruzuku za serikali!
Kwa mfano angalia jinsi tlp walivyokuwa wanaendesha kikao chao cha mwisho ambacho kilimpata mgombea urais!
Porojo na majungu mengi
mungu ibariki bongo, wahuni wasiongoze nchi hii
HAWA WAKENYA WABABAISHAJI NASHAURI HII JUMUIYA YA AFRIKA MASHARIKI TUNAYOTAKA KUINGIA NAO NI BORA WATU WENGINE SI HAWA JAMAA
UTATA SANA
KAMA VIP JK KULA DOKSI MWACHIE MUSEVENI PEKE YAKE AKOMAE NAO NAIMANI HATAWAHINDWA
ANGALIZO NI KWAMBA HATUTAPOKEA WAKIMBIZI KUTOKANA NA UJINGA WENU...
siku zote kauli za kiswahili zina maana
wanasema ukiona mwenzako akinyolewa wewe tia maji
nyingine nasikia wanasema usitukane mamba kabla hujavuka mto
kazi kwao
wanaongea saaaaaaaaaaaana
hapa home hakuna ushindani hata kidogo ungekuta channel 10 inaangaliwa tuu pale kwenye jengo...
mrekebishe halafu mwambie afanye nini kwani yeye siyo mwandishi
hata hivyo mie nakubaliana naye kwa namna fulani
sio waandishi woote uchwara ni wachache
napenda sana kuwafuatilia maana wengine wanatupa habari za kweli na za uhakika
jamani jamani kama hamna data ni vizuri mkakaa kimya
wewe unayesema kuwa kuna mtu ana kampuni yake anataka kuipiku ticts nani kakuambia
sidhani kama waziri mkuu alikurupuka na kusema kuwa ticts wameonyesha kuwa kazi wameshindwa
Nina imani kabisa michuzi keshaona maoni haya yote yanayotolewa na wadau wa jamiiforums
sasa basi ni kazi yake kuamua kurekebisha au kuacha ikae ilivyo
na sina uhakika saana kama ataiacha kama ilivyo ila atairekebisha kwa maaana hakuna mmiliki wa website au tv au redio au blog kama kaka...
mie nitaongea baadaye kwani nataka nifunge mada
ila ujue kuna kitu kule sua wanakiita SIMBI na hapa udsm wanakiita DESA
sijui st agustine wanakiita vip
hata hivyo sina nia hiyo ila nataka kuonyesha tuu huwa tunatoka wapi
kubwa na la ajabu kama wadau huwa mnaangalia ZAIN...
Kumbukumbu zangu zinaonyesha kuwa katika hotuba za mheshimiwa jk kuna siku alisema kuwa haoni hatari kama wizara au idara ya serikali kuanza moja akiwa na maana ya kufuta kila kitu na kuanza moja
hili la ticts linawezekana kabisa maana hata mzee pinda alisema bungeni kuwa wameprove kuwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.