mwanafunzi wa elimu ya juu afu bado unababaishwa na mwalimu wako.si tulisha mfanyia kitu mbaya kwa mtindo wao huo wa kipuuzi na hatasahau kamwe maishani mwake.jiamini chukua hatua za msingi.we ukilalama hapa asiyesoma afanye nn?
km wako mpakani mwao haina shida wanalinda nchi yao bt km wanalingne wasije thubutu.Afrika nzima inalitambua jeshi la Ardhini la tz.TUKO IMARA KULIKO UNAVYOWEZA KUFIKIRI.
hasa dada zetu hawa wa kitanzania.si wote wengne ni wasaka noti hasa bt majority ni wavivu kazi kuuza TIGO.mengine makubwa kula bure kulala bure kwao lakini malaya kweli.
Wazee,
Kuna hii kampuni ya Forever Living, inadeal na products kama lotion, juice, dawa za miswaki. Kuna mtu yupo humo ananishawishi kujoin the deal. Kwamba you can make milions of money easily.
Kama kuna mtu ashakuwa milionea through this company anitonye.
kwa nn unataka kufanya PG ya educatio?kw nn first degree hukutaka kufanya elim.kama tayari una ajira kwa nn bado unataka kutumia pesa ya mlipa kodi wakati kuna kijana kamaliza 6 anategemea aombe mkopo asome nae apate ajira kama ww.
mwaka huu serikali haitaongeza kitu kwenye mishahara.makusanyo ya mapato ni madogo ukilinganisha na matumizi.la msingi watu wajitume kufanya kazi pato la serikali liongezeke mtaongezwa hzo pesa.chapa kazi mdau.hakuna nyongeza ya salary.
wejifunze kitu gani ilihali wapo kwa maslahi yao.wanafiki tu hawa.wanaandaa migomo ambayo baada ya cku moja wanatangaza kusitisha.hakuna chama cha walimu TZ kuna wababaishaji tu.waliomba ongezeko la aslm 100 wakaambiwa hata asilmia moja hawaongezwi na wakafyata makalio mpaka leo.
siasa zinazogarimu maisha ya watanzania ni siasa za kipuuzi.watanzania tuzimulike kwa jicho la tatu.hv ni wanasiasa wa ngapi wamekufa mpaka sasa hapa bongo kwa vurugu hz za kipuuzi.wananch hakili za kupewa mchanganye na zenu.watu wanatengeneza pesa kwa damu za raia wasio na hatia.
usitarajie kujua hlo.we subiri mwisho wa mwezi wa 7 cheki buku thelathini yako nyongeza.ukiona haikutoshi andamana ingawa mtachimbwa mkwara cku ya pili mko kazini.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.