Umeniwahi,ni kweli nipo hapo sasa hivi nitarusha picha nipo kwenye gari mkuu. Basi linaitwa mj lilikuwa linaelekea kondoa. Ajali imetokea baada kuigonga baiskeri. Watu 2 wamekufa papo hapo mtoto mmoja na mkubwa mmoja. Majeruhi wamekimbizwa moro. Nimechukua clip ya wahanga na picha pia.
Sasa sisi tujadili majina ya watu humu? Mimi ukoo wangu njoka maana yake nyoka haya jadili sasa. Wacheni hizo bana unatupoteza tujadili tembo wetu baada ya miaka5 kwisney. Toa hiyo kitu banaaaa
Nimesikia ajira 10,000 za jkt kila mwaka eti ni kuimaliza cdm 2015 kwani wengi wataiona haina maana kwani kazi watakuwa wamepata. Hawatakuwa na cha kuwaskiliza zaidi ya serikali ilowapa ajira...kama ni kweli basi jk atakuwa amecheza kudhungu itabidi cdm imuunge mkono.
Hivi Dr Slaa wanavyomtukana si katibu mkui hiyo mbona haingii bungene je no haki?MKUKI KWA NGURUWE EEE? Wacha twende hivyo hivyo wananchi wataaamua JANGILI ATAJULIKANA 2015,Hakuna dhambi mbaya kama WOGA
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.