Mbona Mashahidi wa Yehova ni madakitari na tuko nao hospitali. Hebu chunguza vizuri sio hao. Kwanza Mashahidi wa Yehova hawa amini miujiza inayofanyika leo, kwahiyo sio rahisi wakatae kutibiwa na wanahangaikia tiba salama zisizo na maambukizi yoyote. Wapo kila sehemu na wako tayari kukuelimisha.
Hivi kuna Mtanzania anaitakia Tanzania Mema?? Watoto wa masikini wana kaa chini hawana madawati wala vyoo, lakini mabilioni ya pesa yataidhinishwa kwa hao wanaojiita watunga sheria au viongozi bila hata wao kuwahurumia watoto hao waathirika. Kesho wako jukwaani wana kemea. Swali ni hili ungekuwa...
Tanzania ni kama tu wameruhusu ushoga, mbona huyu anajulikana na hata viongozi wengi ansema amehudumia. Pata habari zaidi katika blog ya Dinamarios. Huyu mkaka kwa jina Ibrahim Mohamed a.k.a Aunty Suzy jinsi alivyohojiwa katika kipindi cha radio Clouds FM.
Dina Marios(dm): KAMA UMESIKILIZA...
Mbona wengi mnakazania malaria malaria, ingekuwa suala la malaria sidhani kama angepelekwa Appolo India, hapa tatizo Daktari wake kasema anamaumivu ya kichwa, kuna mishipa inaleta shida.
Labda kitu cha kujiuliza kwa nini hatu imarishi hopital zetu zikafikia kama hiyo ya Appolo, tutapeleka...
Attached please find a research done in the cause of bus accidents in the five emerging nations (Tanzania is also on board). It is an old report but it's worth to peruse it.
Kusema ukweli nakuunga mkono 100% Mzee Mwanakijiji, vifo vingi vinatokea kutokana na quality za body za mabasi yetu. Mimi nilishuhudia accident ulaya ya basi aina M.Benzi na ilikuwa mwendo mdundo lakini halikuchakaa kama ninavyoona basi yetu yanavyochakaa kabisa na hata watu wengi walipata...
Unachotakiwa kufahamu RA a.k.a actus ni kwamba hata kama sheria inawapa favor DOWANS, sisi watanzania tunachotaka ni kwamba waliohusika kwenye mikataba hiyo wao ndio walipe lakini sio pesa kutoka kwenye kodi ya wananchi. Inabidi wafilisiwe!!!!
Tatizo la kunuka mdomo wakati mwingine halitokani na kutopiga mswaki, kama vile mnuka vikwapa haimaanishi haogi. Hili tatizo linahitaji madaktari waliobobea katika taaluma na kichwa.
Lingine ni kweli linatokana na kutopiga mswaki hasa kama huoshi ulimi mara nyingi unakuwa na ugaga ambao hutoa...
Mwanamke mwenye usafiri yaani mguu mzuri na **** la wastani anavutia (sexy), ila ****** yasiwe makubwa na mipaja mikubwa atkuwa vulnearable wa fungus. Ila sababu nyingine wengi wanao watamani ni wafanya kinyume na maumbile.
Japo ni mzee wa siku lakini huwa maada kama hizi nazipenda ili kutoa uzoefu wangu. Waokwepa taa zaidi bado wanaoneana aibu, ila all in all taa is the best maana inabidi muangaliane ili kupandishana hamu zaidi. Gizani ni kam unaiba vile.
Ni kweli ukilinganisha na Tanzania sisi bado tuko nyuma karine moja. Message hii inaonyesha jinsi gani mataifa ya Africa yanaongozwa na watu ambao upeo wa kufikiri umeshuka. Mfano hata hayo marais Zuma na Mugabe mimi naona maendeleo yao ni kwasababu wazungu walichelewa kuondoka lakini si...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.