Habari za asubuhi wadau wa humu, nauza pkpk yangu aina ya Boxer, pkpk imenunuliwa mwaka jana mwezi wa kumi na bado ipo ktk hali nzuri coz Ingine yake haijawahi kuguswa. Bei ya kuanzi ni 1.6 Mil, mazungumzo kdg yapo, mzigo upo Mwanza! Kwa mawasiliano zaidi nitafute kwenye 0756501393
Rejea mad husika wapendwa, bajeti yang ni Milioni 17. Je, ni aina gani ya gari ninunue kati ya Toyota Wish na Toyota I. S. T kwaajili ya matumizi ya familia? Means imara, comfortable na isiyokula mafuta sana. Karibuni kwa ushauri!
Kiukweli nimefarijika sana na ushauri wenu wa kunitia moyo, sina neno zuri la kuwashukuru zaidi au cha kuwalipa. Ila tu mwenyezi mungu awabariki na kuwatia nguvu!
Habari za Jumapili wakuu!
Kwasasa tuna mtoto wa kike mwenye umri wa miezi saba, juzi mama mtoto wangu kafanya vipimo kakutwa na mimba ya wiki tatu. Naombeni ushauri, hasa namna ya kuhandle hali hii ili kulinda afya ya mwanangu anaenyonya. Mungu awabariki sana!
Poleni na majukumu waungwana, mwanangu kwa sasa ana miezi sita. Ila amekuwa akisumbuliwa na tatizo la kutokewa na vipele vinavyotunga usaha, wakati mwingine vibalango. Naombeni ushauri au tiba mbadala kwa wenye uzoefu na watoto coz kwa upande wangu huyu ni mwanangu wa kwanza hivyo sina ujuzi wa...
Tulijaza fomu za kuomba kulipwa fedha za likizo tangu mwezi wa 11 mwaka jana, mpaka leo hakuna kitu kilichofanyika, hata wale walioomba malipo hayo mwezi wa sita mwaka jana hakuna malipo waliyopewa. Tunafungua shule trh 13 yaani wiki ijayo, je tukigoma kuingia madarasani kufundisha hali...
Jamani cm yangu inatatizo, nikitouch inavibrate pia inatoa sauti ya kuongea, hapa menu yake haikubali kwenda mbele wala kurudi nyuma na nikiingia kwenye mitandao page niliyoingia haipandi juu wala kushuka chini. Naomba mwenye uelewa juu ya hili anisaidie tafadhali, maana nashindwa kbs kuitumia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.