Hii kitu mi nliiona tangu mwanzoni (refer attachment). Sema labda wadau hamkunielewa. Bora sasa tuna ushuhuda so sasa hv wadau tutafanya proper decisions tukitaka kufanya manunuzi ya mtandao. Cc @ njunwa wa mavoko
ahsante joel kwa maelezo mazuri. Kwa mfano seller kaandika pale free shipping worldwide. Kwa uelewa wangu hapo MyUs haina haja kwa sababu utakuwa una incur gharama isiyo na lazima
Wakuu...
Advantage ya hii myus ni kuwa unaweza kununua bidhaa popote duniani. Na sio kwamba unapunguza gharama. Kwa maana hyo ukitaka kununua mzigo ebay ambao una free shipping...na ukatumia myus lazima unagharamika...si ndivyo?
Ahsante joel lubyama. Advantage ya hii myus ni kuwa unaweza kununua bidhaa popote duniani. Na sio kwamba unapunguza gharama. Kwa maana hyo ukitaka kununua mzigo ebay ambao una free shipping...na ukatumia myus lazima unagharamika...si ndio?
Ahsante joe lubyama. Advantage ya hii myus ni kuwa unaweza kununua bidhaa popote duniani. Na sio kwamba unapunguza gharama. Kwa maana hyo ukitaka kununua mzigo ebay ambao una free shipping...na ukatumia myus lazima unagharamika...si ndio?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.