acha kabisa, maisha ya box 2.
Maps mzee wa chemistry advance ukiuliza swali anakujibu, "unataka kupata degree hapa hapa?"
Kulikuwa na walimu Mtaleban, Okeynow, chikeke, Carl peter, Deo
Uji kama hauna vitafuna unasema "leo napuliza"
Vitafunwa zaidi ilikuwa ni mihogo tukiita "mayao"
Kwa utaratibu wa ROMAN CATHOLIC CHURCHES, maamuzi yote au msimamo wa kanisa kitaifa unatoka kwenye baraza la maaskofu. Ambalo lina mwenyekiti wake kwa sasa anaitwa Ngalalekumtwa, ni askofu mkuu wa jimbo la iringa. Huyo pia huww kama ndo msemaji mkuu wa mambo ya kanisa katoliki kitaifa mambo...
Jiulize kwanza kwa nini vatican city ina jeshi kabisa na kwa nini baba mtakatifu analindwa?
Hao ni viongozi waasisi wa makanisa yao hivyo ni muhimu kujihakikishia usalama wao, kwani kuna tatizo gani wakilindwa ?
Kwa ushauri wangu kwako, nenda moja kwa moja MUHAS kaulize kama kuna huo uwezekano, ikiwa uwezekano wa kuhama upo, hao watakupa procedures za nini ufanye,
Nyamaza kimya wewe umejaa hila n.a. uovu, mtu amefuatwa ofisini anatoroka kwa mlango wa nyuma, acheni uovu, huo ni ushetani n.a. hatutaki kuupa nafasi kwenye nchi yetu. Utakufa umaskini kwa kutegemea kupewa hela ili utetee uovu.
Udhaifu wa kutokuwa n.a. vyeti ndo unakufanya ujifiche kwenye mwamvuli wa kujifanya una machungu n.a. waathirika wa madawa ya kulevya.
Weka vyeti acha maneno
Ondoa mapovu hapa, onyesheni vyeti, mnapenda heshima ya woga wakati hata mheshimiwa Rais alisema utasikia mtu anaitwa mheshimiwa lakini kumbe ana vyeti feki, acha maneno weka vyeti mezani
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.