Huyo mwl. mnae mlaumu kua amefelisha mnataka afanyaje kama anapokea mwanafunzi alie maliza drs la7 kwa kuanza kidato cha kwanza akiwa hajui kusoma wala kuandika. Mwl. huyo afanye kazi ngapi?
Shule za msingi walifuta baadhi ya masomo nakuanzisha somo jipya la TEHAMA, walimu wakufundisha somo...
As usual,kwa serikali hii bila maandamano na migomo haki hakuna na hasikilizwi m2!
Nadhani wanasubiri maandamano na migomo kama Mtwara!!
Nakumbuka enzi za shule 2likua 2naimba
Tanzania tanzaniaaa,
Nakupenda kwa moyowoteee,
Nchi yangu tanzania,
Jina lako............!!.!
Ila leo hata...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.