Naomba tumsaidie dada angu, ana mtoto mmoja wa miaka 11 ni mwaka umepita tangu aanze kutafuta mimba, alienda hospitali akasafishwa mirija ya uzazi na kupewa dawa (clomiphene).
Baada ya kutumia dawa hizi haoni ute telezi kwenye siku za ovulation.
Je anaweza kupata mimba katika hal hiyo...
naomba nisaidie katika hilo, nikiwa ktk ovulation period sion mabadiliko ya ute lkn dalil nyingine zinaonekana. nimejaribu kutafuta mimba cjafanikiwa kwa muda wa mwaka sasa, hospital nilipimwa utrasound nikasafishwa mirija ya uzaz na kupewa clomiphene lkn hakuna mafanikio. naomba ushaur wenu...
Sijapata hedhi mwez huu lakin naumwa matiti,kichwa na kutoa ute mwingi.Nilipata hedhi tarehe 11 mwez wa10,mzunguko wa siku 30. Nimepima malaria& mimba tarehe 9 mwez 11 sina kitu. Je nini tatizo? Pia kipimo cha ujauzito kinaanza kuonesha baada ya siku ngap?
Nina umri wa miaka 28 mzunguko wangu ni siku 30,cha kushangaza nilipata hedh tarh 24 mwez wa 8 na jana tareh 13 nimeanza tena kubleed. Je ni tatizo gan? Maana sijabadil mazingira.
Wakuu naomba mnisaidie chanel na frequency zake zinazopatikana kwenye ku band. Nina ungo ft 6 na receiva ya mediacom,fund kafanikisha kufunga chanel za cband lkn za ku bado hajawa mzoefu sana. Nipo kijijn mafund ndo hao wa kubahatisha.
Wakuu naomba mnisaidie chanel na frequency zake zinazopatikana kwenye ku band. Nina ungo ft 6 na receiva ya mediacom,fund kafanikisha kufunga chanel za cband lkn za ku bado hajazimaster vizur. Nipo kijijn mafund ndo hao wa kubahatisha.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.