Well composed!
Inafundisha sana...
Ni kumuomba Mungu atusaidie tu...
Watu wako waongo sana na wagumu!
Celibacy before marriage ndio ilimuokoa huyu pastor otherwise angeuziwa mbuzi mwa gunia!!
UDOMASA tuko wote mpaka kieleweke.Kumbukeni na hili pia...
Na tena Hela za kusimamia mitihani??kusahihisha??mbona hawatupi ili hali vyuo vingine wahadhiri wanapewa??au sisi ni tofauti na hivyo vyuo vingine??
Du,mbona wanatuchanganya? Mamkwe ndo nani tena??
Vipi kuhusu fedha ya kujikimu??
sasa baada ya wahadhiri kugoma Feb.hela zitatoka wapi??yaani mpaka mgomo ndo watu waache kula hela zetu ama??
Tuko wote UDOMASA, wanafiki hawatakiwi hapa na huyo anayesema muulizie wazoefu UDASA anatoka nchi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.