Hili ni jambo la ajabu sana miaka 50 baada ya uhuru bado hakuna miundombinu ya maji wala maji, hakuna miundombinu ya umeme wala umeme, hakuna shule, hakuna mahospitali kwa sababu kwenda mwananyamala ni sawa na kwenda kwa mganga wa kienyeji nk.
Hivi serikali imesimamia kitu gani kikafanikiwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.