Nami ni mpenzi wa kipindi hicho na hayo uliyosema ni kweli yapo. Sasa tungoje wahusika watupe ufafanuzi.
Isipokuwa matangazo yanaletwa na wafadhili na huo ndio wakati muafaka wa kuyarusha, maana kabla ya hapo kuna kipindi kingine cha amka na BBC kinachatangulia.
Tunaomba majina ya waathirika yawekwe hapa tafadhali. Leo hii nimeota hii topic kwenye Gazeti la 'Dira ya Mtanzania' yenye kichwa "Mamilioni ya PPF yafujwa na Wakubwa'. lakini nao hawakutaja majina. Inawezekana hii isiwe kweli ama?
Majina tafadhali. Habari hii pia leo ipo kwenye gazeti la Dira ya Mtanzania na Kichwa "Mamilioni ya PPF yafujwa na Wakubwa" lakiini nao hawakuandika majina. Mwenye majina hayo atusaidie nasi tuyajue.
Jamani mtanisamehe kama majina ya waathirika yalishawekwa hapa, lakini ningeomba kujua majina ya jamaa zetu walioathirika na uozo huu. Leo kwenye Gazeti la Dira ya Mtanzania pia kuna habari hii lakini majina hakuna!!
Poleni sana wote waliokumbwa na kadhaa hilo. Jiji lazima liwe na contingent plan inapotokea maafa kama hayo. Sasa sijui wakazi wa nje ya Dar watatokea wapi leo!
Kwa Bongo yetu hii kila kitu kinawezekana, mtashangaa David, JK wakiendelea kupeta mjengoni kama vile hakuna kilichotokea. Busines As Usual. Si ndiyo hali yetu ya Tanzania bwana? Mambo ambayo ni serious tunayachukulia kimzaha mzaha!!!! JK hana sababu ya kusubiri 2015, aungane na RA kwenda...
Hili swala ni la Takukuru, lakini ninavyowajua wala hawataliweza. Wapewe wale jamaa wa rada wa Uingereza wafenye kazi. Waliotoa rushwa wote na waliopokea wajulikane, na kuchukuliwa hatua kama za akina Maranda.
wakuu labda hesabu inanipiga chenga mwenzenu, mbona mimi nikihesabu napata hesabu ya waliokufa na kuzikwa ni 24, wakati mwanzo mkuu kasema 25? Mmoja kazikwa wapi?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.