pundamilia 07
Mungu akubariki kwa post zako na wote wenye mapenzi mema na kampuni hii. Kwa kweli inasikirisha..
Embu angalia
Wiki mbili zilizopita, jamani haya si majungu kuna marubani 31 na wafanyakazi wandani ya ndege 32 walikuwa hawajalipwa mishahara yao...lakini bodi ilikaa jumatano...
ATCL wawakilisha sababu za kuharibikiwa
Mwandishi Wetu
Daily News; Friday,December 19, 2008 @21:15
Habari nyingine
ATCL wawakilisha sababu za kuharibikiwa
Mpigapicha wa Channel Ten aagwa
TSN watoa msaada wa kompyuta
Zimbabwe isaidiwe kukabili kipindupindu
Mgonja kula sikukuu...
kwa raha zake wakina lowassa na rostam watupu wamepandikizwa ...si nyalisa mm malisa wala nsauni haya tusikie watakavyokula kwenye maataba wa pale ....
byee
halafu bado Mustapha Myang'anyi anasema atajiuzulu pale tu ITAKAPODHIBITIKA kuwa bodi yake imehusika katika kufanya shirika hilo kufungiwa! Uthibitisho upitena?
labda anasubiri kutupiwa mawe na watanzania ndipo ajue wamechoka nje ya hapo hatoki....majuzi nilikuwa naongea na dir mmoja na...
Mheshimiwa mweneyekiti
una taarifa hata kampuni yako ikirudishiwa hiko kibali
hutoweza kurusha ndege zako zile ndgo kama dash 8
na sababu uanajua itakuwa nini//..ama utaishia tena kuwaambia
watu uzembe...kampuni yako imekuwa ikifanya maintenance za ndege illega kwa kutokuwa na kibali cha...
Kukodisha ndege ya kumpeleka pale kwa mzee zanaki jioni wanaenda kulala
nairobi yeye na yule mshe*** mwenzake temu alieiibia bima....ben alipojua wakamngoa sasa uswahiba wa kikwete kukaa nae pale **kwa macheni bar**
ameona awaletee atcl..any way wanajua wenyewe wafanyakazi nini cha kufanya...
Mkuu ALLIEN
Uswahiba na kuedekezana ndi kumelifikisha hili shirika hapa lilipo...
unajua D.MATTAKA NI SWAHIBA MKUBWA WA jk.so muda wote likitokea jambo anaona aibu kumuabarisha live sasa wakati mwingine unajiuliza jamaa akichota huku na mzee anaminyiwa kidizaini au!!!aiwezekani rais mwadilifu...
Je hayo magari yatatolewa lini??na aliehusika kuyaleta na kushindwakuyatoa aliwajibika???
kuna fununu kuna baadhi ya waliohusika katika kuleta magari haya ama kwa kwenda kuyaangalia ama kusaini kati ya moja ya makaratasi...swala hili liko mikononi mwa takukuru na baada ya kuona hilo...
KULETA MARUBANI WASIO NA RATES
ndugu mwenyekiti..kumekuwa na malalamiko ya ajabu ajabu huko kwenye kampuni yako!!!kuhusu hawa marubani wa kizungu mnaowaleta..labda kwa taarifa yako tu kuna kampuni inaitwa easyway...kampuni hii imekuwa ikiwafanyia trainning wanafunzi wanaotoka fresh from school...
AJIRA MBOVU
swala la ajira nahisi si la kuongelea sana maana hata wewe umehusika kuna baadhi ya watu walikuja kwako ukawaelekeza waende kumuona dav na hivi sasa wamejazana matokeo yake ..umejaza watu ambao si qualified kwa minajili ya kujuana na uswahiba...mwisho unafikia kulalamika hmna pesa...
mod tunaomba ijitegemee pls!!!!
ahsante
Nimesoma gazeti la leo likanikumbusha mbali sana kuna maswali nilikuwa naulizwa nikiwa darasa la tano na saba majibu ni....MUSTAPHA NYANGANYI
leo hii kwa bahati mbaya naskitika kupingana na yule yule mabae kwa wakti huo niliona bila kujaza jina lake...
Re: ATC SAGA: Wafanyakazi wataka Uongozi Ujiuzulu!
--------------------------------------------------------------------------------
Hii niliiona March,JF ni watabiri???
nafikiri watu waliisoma na kuweka kwenye makabrasha nakumbuka ilipelekea kijana mmoja niliekuwa namfahamu pale mjini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.