Hizi mesage nyingi bwana vituko vitupu. Hebu angalia hii hapo chini:-
"Kutokana na migomo inayoendelea nchini, Raisi ametangaza kufunga nchi kwa muda usiojulikana. Ifikapo saa 10 jioni asionekane mtu nchini. Ninavyoandika message hii nipo Uganda."
Jamani TTCL broadband mnatufilisi wateja wenu. Sisi ni wateja wenu wa miaka mingi sana. Sasa hii tabia mlioianzisha hivi karibuni sio nzuri kabisa. Tukiweka pesa kwa ajili ya internet ya Broadband baada ya wiki 2 mnafunga hata kama kuna hela imebaki. Halafu tukiwafuata mnasema tulipie shilingi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.