Nchi inafungwa

gnasha

Member
Jan 19, 2007
83
6
Hizi mesage nyingi bwana vituko vitupu. Hebu angalia hii hapo chini:-

"Kutokana na migomo inayoendelea nchini, Raisi ametangaza kufunga nchi kwa muda usiojulikana. Ifikapo saa 10 jioni asionekane mtu nchini. Ninavyoandika message hii nipo Uganda."
 
Hizi mesage nyingi bwana vituko vitupu. Hebu angalia hii hapo chini:-

"Kutokana na migomo inayoendelea nchini, Raisi ametangaza kufunga nchi kwa muda usiojulikana. Ifikapo saa 10 jioni asionekane mtu nchini. Ninavyoandika message hii nipo Uganda."

kwani yeye atakuwa wapi kama anasema asionekane mtu, kwa Obama nini?
 
kwani yeye atakuwa wapi kama anasema asionekane mtu, kwa Obama nini?

Ulitegemea wapi tena? au umesahau na sisi ni jimbo la kule? Ila ametutafutia nafasi chache Somalia,Sudan,Iran,Irak na Afghanstan.Wahi fasta!
 
Znz nayo imefungwa maana nauli yangu ni kidogo, uwezo wa kwenda somalia ni mdogo.
 
Niko huku visiwani,nikikuunga mkono kuwa Znz si nchi mtakuwa hamnioni tena jf. Ukiwa huku lazima useme Znz ni nchi.
 
Yeye Rais ndo anapaswa Kufungwa na Watanzania,na si yeye kuifunga nchi,kwani yote yanayotekea anawajibika moja kwa moja kama mkuu wa nchi.Yote yanayotokea ni mwamko wa kijamii,na ni saa ya ukombozi,,,watz amkeni sasa na ukombozi upo mikononi mwetu
 
Yeye Rais ndo anapaswa Kufungwa na Watanzania,na si yeye kuifunga nchi,kwani yote yanayotekea anawajibika moja kwa moja kama mkuu wa nchi.Yote yanayotokea ni mwamko wa kijamii,na ni saa ya ukombozi,,,watz amkeni sasa na ukombozi upo mikononi mwetu

We umesahau sera yao ktk chama caho? Wanaamini mkubwa na mwenyenguvu hakosei!
 
Nipo likizo, nje....... nashukuru kwa taarifa hizi, itanilazim kuongeza siku zisizojulikana.

hii tunaiita positive effects, bora ifungwe!!! kwanza chakula kilishaanza kuisha..
 
Back
Top Bottom