Hizi mesage nyingi bwana vituko vitupu. Hebu angalia hii hapo chini:-
"Kutokana na migomo inayoendelea nchini, Raisi ametangaza kufunga nchi kwa muda usiojulikana. Ifikapo saa 10 jioni asionekane mtu nchini. Ninavyoandika message hii nipo Uganda."
kwani yeye atakuwa wapi kama anasema asionekane mtu, kwa Obama nini?
Znz nayo imefungwa maana nauli yangu ni kidogo, uwezo wa kwenda somalia ni mdogo.
Yeye Rais ndo anapaswa Kufungwa na Watanzania,na si yeye kuifunga nchi,kwani yote yanayotekea anawajibika moja kwa moja kama mkuu wa nchi.Yote yanayotokea ni mwamko wa kijamii,na ni saa ya ukombozi,,,watz amkeni sasa na ukombozi upo mikononi mwetu