General Manager Capt Hamza Mwapachu, ameendelea kuvunja sheria za Nchi kwa kuwapa barua wafanyakazi kusitisha ajira zao kwa sababu waligoma kusign mikataba mipya pasipo mikataba ya awali kusitishwa...
Hamza amekuwa mkaidi pamoja na directors wa Airkenya na...
Mimi na mke wangu tumekuwa tukitafuta mtoto kwa muda wa miezi 6 sasa. Muda mwingi mimi huwa safarini kwa shughuli za kikazi kwa hiyo kukutana huwa si mara kwa mara. Mara ya mwisho yeye kuona hedhi ilikuwa tar 13Aug,tukakutana kimwili tar 24/25 kisha nikasafiri.Leo amenipigia simu anasema ameanza...
Wadau nimeona si vibaya kuweka hizi namba hapa, ili kila mmoja atakaependa aweze kuzisave kwenye simu yake kwa ajili ya dharura. Namba hizi ni za jeshi la polisi wa usalama barabarani.
Kutokana na ajali hizi za kila siku ni vema kama watanzania tukashiriki katika kujali usalama wa maisha...
Maisha yamekuwa magumu.
Bei ya mafuta imepanda
Gesi bei ipo juu
Maji ya mgao
Umeme ndio usiseme, kila kitu kimepanda bei kwa ajili ya uzalishaji kuwa mdogo.
Nikisema ninunue jenereta bado nakutana na mafuta bei ndio hiyo.
Nitashawishika vipi kuwachagua tena kwa kipindi kijacho.
Kwa nini sisi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.