Maisha ni zaidi ya sex. Furaha ya maisha pia ni zaidi ya sex. Sex lasts for say 1hr BUT the rest of 23 hrs ndiyo inajumuisha furaha ya maisha dhahiri. Mahusiano mazuri nje ya sex ni furaha kubwa sana zaidi ya sex yenyewe. Sasa hizi porn na kujihemusha ndizo huchetua fikra tawala za ngono na kuwa...
Mpira wa kurushwa in fact ukishaanza kuja haujalishi origin kwenye consequences zitakazotoea kuamua impact. Hili inakuwa goli na mfungaji ni aliyerusha. Mpira wa kurushwa ni halali kwa mantiki yake. Ikiwa hivi kuwa tujali na kuheshimu taratibu za mpira basi mpira wa kichwa golini usingekuwa goli...
Africa chumi zake zote ni kaanga tule, hamna reserve ya kuwalisha hata wananchi wake milo mitatu kamili kwa siku moja... angalia sana... wao ni viongozi wao kuishi kama malaika pekee na hivi kusema viongozi wa waafrica kote barani ni wakoloni wa wananchi wao. Hamna watumishi wengi wa dhati...
Jibu murua kabisa mkuu! Afrika hatuna bado viongozi safi wenye ari. Alikuwepo mmoja tu naye ni Qaddafi lakini kwa tabia zetu za u-cain tulimmaliza. Sasa hapa pengine mpaka mwisho wa dahari au tupate magufuli kama 200 hivi ndiyo tufidie miaka 60 tuliyopoteza takriban baada ya uhuru. Ili tuendelee...
Kwa biashara ilivyo sasa duniani 70-75% ya products ni China origin, by design, under license, manufacturing, copying, replicating, duplicating, you name it. Huwezi kwepa China kwa sasa labda matango, migebuka na mchele wa mbeya
Hii ndiyo mfano wa deficity and insufficience ya sheria tunazotunga zinakuwa rules and siyo sheria. Sheria lazima iwe ama iangalie exceptions. Magonjwa ya milipuko siyo magonjwa ya kufedhehesha wala kubeza na hivyo kutangaza ilipasa kwa kuwa inaweza kuponya kuanzia familia yake, jiarani yake...
Mkuu wewe ama IQ yako ndogo sana au hujui siasa na wala hukujifunza siasa kwa mifano, au pengine ni papet na kutazamia cheap popularity.
Ikiwa itakuchukua miaka 60 na zaidi karibu ya umri wa rais wetu wa sasa tangu amezaliwa hadi leo ndiyo unafanya hayo yote huoni aibu kujinadi? Ni sawa na...
Afrika inafanana wala usijali... Afrika ilipaswa kuwa nchi moja tu kama ilivyo China au India sub-continent. Akili za viongozi wao, priority za maendeleo, life style etc.
Ingawaje huu ugonjwa kwa watanzania na waafrika wengi ni gene controlled plus other factors such as immunity vs vaccination ambazo kwa frequency ya kupata contact na visababishi vya magonjwa ni kila siku ...like .. kila siku mathalani unaingiliwa na visababishi vya magonjwa zaidi ya tano kwa...
Hizi zote siasa chafu.... sikulizungumzia hili ili leo nimepata wasaa kidogo kudodosa mambo.
Propagandists wa kudumisha siasa chafu na ku-deceive the wananchi
2015 - Lowasa
2020 - Membe
Soma zaidi kuhusu Joseph Goebbels na alichokuwa anafanya kuhusu kukidumisha chama cha NAZI kule Ujerumani...
Sasa hii inanipa taabu kidogo...kuwa hizi zote taasisi za umoja wa mataifa ni fronts za US na hiyo ni sawa na mfuko wa kulia na kushoto bado katika suruali ile ile. Accountability and responsibility inahitajika pamoja na integrity. Ila ukijitegema na kujiamulia kwa US utapata taabu sana...refer...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.