Hili ni moja ya kanisa kongwe kidogo hapa wilayani na mkoani pia,kanisa hili tangu aondoke Padre mmoja aliekuwa anaitwa Bilinge, halijawahi kupata Padre ambae anaelewana na waumini.
Huyu aliepo sasa ndiyo anasababisha mitafaruku mingi sana kila leo, waumini wanatukanwa kanisani matusi mazito...
Mbuzi kabisa hii,watu wanalia gharama za maisha,ikiwemo chakula kua juu wewe unazungumzia instagram kuondoka urusi? Kwaio apo ulipo unakula instagram.?
Kwaio na wewe unaiamini io tovuti kwa kila kitu.? Yani mzaliwa wa chato burigi akatambuliwe jina na mkenya wa kisumu huko kiraisi raisi tu.? Maiti zinaungua moto hovyo uo utambuzi wanatumia njia gani kuwatambua.? Au ndio unaamini propaganda za kua warusi 5000+ wameuwawa na ao kiev.? Unaamini...
Hakuna kijiji kinacho itwa msanga kwa dibibi bali kuna kijiji kinaitwa msanga. Apo pana soko japo ni dogo sana wamezoea kupaita msanga sokoni. Sasa kwa mbele kuna check point ya maliasili kuna diwani mmoja amejenga apo huyo diwani ndio anaitwa dibibi. Mtoto wake mmoja anaitwa shafii nimesoma nae...
RIP Neema nitakukumbuka daima ulikua nguzo kwangu tangu una soma nursing pale lugalo ukiishi kawe... Rest in peace Chawala,ulikua ni shemeji kwangu nilie muanini sana,nafahamu misuko suko uliyopitia ktk maisha mpaka mpaka unafika apo,nakumbuka motisha wako juu ya maisha kua tusikate tamaa kamwe...
Nilikuona wamaana sana kumbe kichwani mweupe tu,umejaa chuki za kipuuzi,hivi unawezaje mtu kua raisi kwa kupigiwa kura na kabila moja tu? Unaanzaje kutukana kabila zima kwa kosa la mtu mmoja? Ficha upumbavu wako.
Unaushahidi wa haya uliyo andika hapa au ndio unaandika kutokana na mihemko yako jinsi unavyo fikiria wewe basi na wengine wote tukubaliane na haya matango yako.?
Sent using Jamii Forums mobile app
Ninani kathibitisha kua china ndio katengeneza hivyo virus.? Wakina nani waliofanys uo uchunguzi wakagundua china ndio mtengenezaji.?
Sent using Jamii Forums mobile app
Unaushahidi kiasi gani kama taharifa walizo toa china hazikua sahihi.? Au ndio mahabaniue.? Inakuaje unatumia kichwa chako kuwana au kuamua kua habari za upande mmoja ziko sahihi na usiziamini na zaupande mwingine wakatu haujazipata izo habari kutoka ktk vyombo ambavyo ni neutral.? Unauhakika...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.