Wana JF, salaam nyingi.
SUMU YA SIMU NA SUMU YA NYOKA:
“Naongea na simu”.
Siku hizi simu zinatoa sumu kali sana, hadi kuua zinaua. Hebu tulia kidogo, kisha fananisha kidogo simu yako na nyoka. Vipi, simu yako mara ya mwisho kutoa sumu ni lini?
Nyoka asipotoa sumu hana madhara, lakini akitoa...
Nadhani hawa jamaa ni manyang'au toka Kenya. Ki ukweli wananihabarisha sana mambo mbalimbali yanayojiri hapa Tanzania na East Africa kwa ujumla.
Sidhani kama kuna chombo cha habari Tanzania kilicho na uwezo wa ku update kama hawa jamaa thecitizen. Sidhani.
Ukitaka kuwafaidi zaidi; ingia google...
Sawa kabisa, nionavyo pia mimi maana inaonekana kabisa majeruhi yatakuja kuigharimu timu. Kwa mfano yule kinda machachari aliyesajiliwa kutoka viunga vya lindi huko sidhani ataacha timu ikiwa salama kwa namna alivyojeruhiwa
Kocha alikabidhiwa timu mwishoni mwa mwaka 2015; na kimsingi msimu wake ndo unaanzia hapo hapo!
Kocha alifanya overhaul nyingi sana. Kuanzia centre back, midfields, na striking force bila kusahau bench la ufundi.
Nadhani lengo lake kubwa lilikuwa kuwapata defensive midfielders na attacking...
andika kiswahili boya wewe mwenzio kaandika kiswahili.......sasa mtu anakuongelezea kichagga we unamjibu kikurya dah the most intelligent man in JF hahahahaha
1. Ongeza repayment period......maana yake mteja aongezewe muda zaidi wa kutumikia mkopo wake; still risk bado ipo ila kama nakuelewa fulani hv
2. Chukua dhamana zinazouzika kirahisi.....hebu jaribu kuorodhesha baadhi kwa mfano
3. Kaa na mteja mjadili namna ya kulipa deni lake.....hahahaha...
Mods naombeni uzi huu uwe sticky kwa manufaa ya wengi.
Maisha ya mijini hususani miji mikubwa kama Dsm mikopo ya hapa na pale ni jambo la kawaida sana. Riba za 60%, 50%, 40%, na kuendelea ni jambo la kawaida sana kwa hapa Dsm.
Sasa kuna baadhi ya changamoto kwa upande wa dhamana. Wengi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.