Ndugu wana jamvi kwa heshima na taadhima ninawasalimu.
Naomba kutoa maoni na mapendekezo kuhusu uongozi wa Mh JPM kwa muda wa miezi 9 toka awe Raisi wetu.
JPM, anajua matatizo na kero za watanzania kwa kiasi kikubwa sana na alianza vizuri kutatua kero hizo. Watanzania walio wengi walifurahi...
Habari zenu wana JF.
Nina mashine za kufanyia marekebisho ya barabara (Road works machine) na mashine zingine za ujenzi wa majumba, ninatafuta fundi mzuri na mwaminifu atakayeweza kuzifanyia service na kuziangalia vizuri kwa malipo tutakayokubaliana.
Tafadhali kama kuna fundi ama mtu yeyote...
Slaa: Watanzania ipuzeeni CCM
Asema imeonyesha dalili za kufa
na Mwandishi wetu
MGOMBEA urais kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Dk. Willibrod Slaa, amewataka Watanzania kupuuza ujumbe mfupi wa maneno (sms) unaosambazwa kupitia simu mikononi kuwa ni ujanja wa...
Ufisadi wa kutisha
Trilioni 1.7/- zatafunwa serikalini
na Edward Kinabo
SERIKALI ya Awamu ya Nne imeendelea kukumbwa na jinamizi la matumizi mabaya ya fedha za umma (ufisadi), baada ya kubainika kuwa imetumia sh trilioni 1.7 kwa kipindi cha mwaka 2008/2009 bila maelezo ya kina...
Ndugu wana JF,
Tafadhali naomba kufahamishwa: -
- Tanzania tuna majimbo mangapi ya uchaguzi?, majimbo mangapi yako chini ya chama tawala na mangapi yako chini ya upinzani?.
Nini kiliongelewa katika kikao cha NEC?, mkweli ni nani?
Balozi zashituka Sitta kuandamwa
Wa Sweden aenda hadi ofisi za CCM
Msekwa aziandikia waraka kuzipoza
Akiri NEC ilikosea taratibu
BAADHI ya balozi nchini zimefuatilia taarifa za kikao kilichopita cha Halmashauri Kuu (NEC) ya Chama...
Jamani wana bodi huu ni mwezi wa pili nimekuwa nikijaribu kuwasiliana na wizara husika lakini bila mafanikio. Labda nina namba za simu , fax na email address za zamani, lakini katika website yao contact details zao ni kama ifuatavyo,
Ministry Of Natural Resouces ana Tourism
Box 9372
Dar es...
Upinzani wa kweli hakuna Tanzania. Vyama vingi vya upinzani ni matawi ya CCM ama kuna watu wa CCM wamepandwa ndani yake. Ukombozi wa Mtanzania uko mbali sana. Angalieni upuuzi wa msomi na mwanasheria aliyebobea.
2009-01-19
DK MVUNGI AYEYUSHA RAI YA KUMSHITAKI MKAPA
Written by...
Ndugu wanabodi,
Napenda kutoa zangu shukrani kwa jitihada zenu za michango ya mawazo kwa lengo la kuijenga na kuitetea Tanzania.
Kuna kitu kinanikera na naomba kukitoa wazi hapa JF.
Vita ya kupambana na mafisadi katika nchi yetu sioni kama imeanza pamoja na kelele zote za wananchi kwa...
Ndugu wana JF,
Nimepata muda wa kupitia topic karibu zote hapa JF ingawa ni nyingi na ndefu.
Nimeona wazi kwamba hiki kijiwe cha JF kina mchanganyiko wa watu wa aina tofauti, wenye vipaji na mtazamo tofauti lakini wengi wao 80% wana uchungu na Tanzania.
Topic nyingi zimelenga katika...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.