Search results

  1. K

    Kuna hatari nchi zote za Africa kuingizwa EAC

    Kibaya zaidi mpaka Somalia imejiunga wakati wasomali wanasema wao siyo waafrica bali ni waarabu.
  2. K

    Rais Samia aitisha mkutano wa dharura wa Halmashauri kuu ya CCM Taifa

    Pumbavu kabisa. Wewe lazima utakuwa kubwa jinga.
  3. K

    Rais Samia akataa mwananchi kueleza shida kwenye mkutano, amtaka amfikishie kupitia mbunge

    Naona haikuwa sahihi. Kumuona Mbunge ili kumueleza kero ni ngumu sana. Na hata kufikisha kero kwa wasaidizi wa Mh Raisi wanaweza wasifikishe hizo kero kwa Raisi. Ingekuwa ni jambo la hekima kumsikiliza huyo mtu hapo Barabarani.
  4. K

    Motor Insurance Tanzania

    Niliweza kumcheki. Tumeanza maongezi
  5. K

    Motor Insurance Tanzania

    Asante sana, nitafanya hivyo
  6. K

    Motor Insurance Tanzania

    Ndugu zangu nataka kuweka Insurance kwenye mashine zangu za kilimo i.e Tractors. Ni kampuni gani nzuri kwa biashara kama hiyo?
  7. K

    Polisi wamgomea Lissu kufanya mikutano Ngorongoro, yeye asema ataenda kwani sehemu hiyo sio Gereza

    Mbona hakuna tatizo kabisa. Ni kuomba vibali UAE fastaaaaa
  8. K

    Tetesi: Huenda Waziri mkubwa akaachia ngazi wakati wowote

    Usijiuzulu hata kidogo. komaa tu jifanye hamnazo. Labda akufukuze kitu ambacho hawezi maana italeta picha mbaya. Mama ana wasiwasi mkubwa na team JPM (Ndugai, Majaliwa, Bashiru, Polepole na Sukuma Gang). Ukijiuzulu mwenyewe yatakukuta kama yale ya Ndugai.
  9. K

    Putin anaionya ECOWAS kama nani? "AU" kemeeni huu upuuzi. Afrika sio Crimea

    Putin katoa onyo. Ecowas watakutana na cha moto huko Niger. Wagner group wana wasubiria.
  10. K

    Rais Samia: Serikali haijafunga mipaka kuuza mazao nje ya Nchi

    Naomba Serikali iangalie bidhaa zinazoagizwa toka nje ya nchi. Kwa mfano mafuta ya kula toka nje ya nchi, serikali iache kuagiza ama mafuta hayo yatozwe kodi kubwa ili kumpa unafuu wa soko mkulima wa alizeti wa Tanzania. Alizeti imeshuka sana bei mwaka huu sababu kubwa ni kuingiza mafuta ya kula...
  11. K

    Kijiji gani ardhi yake ina rutuba, na gharama za kilimo ziko chini?

    Magari yapo mkuu. Kila siku maloli yanashusha mazao masoko ya Dar, mengi ya magari hayo ni kutoka Mbeya, Ruvuma, iringa na Rukwa. Nina jamaa ana Fusso mbili, kila siku zinaenda kuchukua mazao Tukuyu, kyela na kuleta Dar.
  12. K

    Kijiji gani ardhi yake ina rutuba, na gharama za kilimo ziko chini?

    Isimani Iringa kuna ardhi ya kutosha, udongo wake unatunza maji vizuri, hivyo mvua ikinyesha kidogo tu mambo safi. udongo wake una rutuba ya kutosha, hakuna haja ya kuweka mbolea. Kukodi ni kati ya 20,000 mpaka 30,000 kwa heka. Unaweza lima mahindi na alizeti.
  13. K

    Bei ya alizeti

    Ndugu zangu, naomba kujua bei ya alizeti kwa mwezi huu wa nane 2023. Hivi kuna app ama website ya kuweza kusaidia bei ya mazao Tanzania? Asanteni
  14. K

    Kumekucha: Balozi Dkt. Slaa na wenzake kuwasha Moto Temeke Jumapili 23/07/23

    Hapo ni pachungu sana. Naona damu za watanzania zikimwagika tokana na huu mkataba wa hovyo. Serikali ingekubali kusitisha na kuachana na mkataba huu. Na ni vigumu sana kuzuia mkutano huu, kama CCM inafanya mikutano kila pembe ya Tanzania wakielezea uzuri wa huo mkataba huo, na upande wa pili...
  15. K

    Tetesi: Njama za kuwavua Uwakili waliofungua kesi kupinga Mkataba wa Milele wa Bandari zavuja ni kama ile iliyomkuta Fatuma Karume

    Mwabukusi yuko vizuri kwenye sheria. Kawazidi kwa hoja zake na jinsi anavyochambua mambo. Jipangeni vizuri, mrudi kujibu hoja zake.
  16. K

    Wakili Mwabukusi kumburuza Mahakamani Mkuu wa Mkoa wa Mbeya ndani ya siku 7

    Hana ubavu huo. Mkuu wa mkoa ni mtu mkubwa sana.
  17. K

    Developing story; Mwanamke aliyekufa kwa kunywa sumu huku akirekodiwa na mumewe

    Mwanaume hana kosa. Mwanamke alikuwa ni mtu mzima na hakulazimishwa kunywa hiyo sumu.
Back
Top Bottom