Habari wakuu..
Nimejaribu kufuatilia uvumi wa Serikali kuanza kujipa tenda mbalimbali zikiwemo za ukandarasi
1.kuna zile Hostel za Udsm Serikali imejipa tenda yenyew....
2.Kuna ujenzi wa NHC nako Serikali imejipa Tender yenyew...
Sasa swali hivi huo mzunguko wa Pesa utatoka wapi ile hali pesa...
Natumai wanajamvi baada ya weekend ndeeefu kua ukingoni na kesho tunaendelea na majukum kama kawaida
Jamani mie nina Swali langu kama kichwa cha Habari kinavyojieleza hapo Juu.
Hizi Nyumba za Soth africa ambazo Naoana Diamond na Doctor Mwaka wamenunua uzuri wake na Bei kama haviendani...
Habari za mchana wanajamvi,
Poleni kwa msiba wa Bw. Samwel Sitta Mungu amlaze Mahala Pema Peponi. Amen.
Najitoza kwenu kuhoji juu ya mabilioni ya pesa yalichangwa na wahisani mbalimbali kutoka na maafa ya yaliyotekea Kagera/Bukoba kwa ajili ya Tetemeko. Tuliona matajiri waliitwa na kamati ya...
Katika pitapita zangu leo asubuhi ili kupata news nimekutana na hii. Eti jana IPP media na Channel 10 walizuiliwa kuripoti tukio la uchaguzi wa Umeya Kinondoni na Mkurugenzi wa Halmashauri walipohoji wakaambiwa kuwa Mkurugenzi amepata agizo toka Juu.
Je ni kweli?
Jamani wanajamvi naomba mnisaidie,
"Hivi ukisafiri na ndege lazima uwe na begi la kuvuruta i mean lenye tyre?"
Mara nyingi huwa nafika Airpot za hapa kwetu hususani za Mwanza na Dar.
Sas ambacho hua kinanishinda ni pale kila anaeshuka ana begi anavuruta mpaka huwa najiuliza ama kuna sehemu...
Nina wasiwasi na kamanda Sirro juu ya idadi ya majambazi waliovamia jana usiku CRDB Mmbande. Kama Sirro amesema majambazi yalikuwa 14...
Maswali ya kujiuliza.
1.Nani alimpa hiyo idadi?, nani aliwaona wakati walikuwa wakirusha risasi mfululizo na kotokana na hali hiyo lazima wananchi wote...
Hope Jmosi iko sawa kabisa.
Binafsi nina wasiwasi sana na swala la Uteuzi wa kitwanga kua waziri wa mambo ya ndani.
Nahisi hili swala MAGU alipenyezewa na wapiga deal pasipo kujua kilicho nyuma ya pazia. Najiuliza mawaswali mengi sana.
1.Kwanini Kitwanga akawekwa wizara ya Mambo ya ndani akati...
Katika pita pita zangu na maongezi na watu...niliweza pata ongea na asst manager wa Halotel lakezone side. Alinieleza mengi ila cha ajabu akawa anashangaa sana kwanini nchi yetu ni tajiri lakini bado ni masikini akasema kwa mfano. pesa yetu ni kumbwa ×10 ya kwao ila wameweza wekeza nchi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.