hellow,kuna mwanamke kule kahama aliishi na mmewe kwa mda mrefu,wakazaa watoto wa tatu. walijenga nyumba pamoja,baada ya kuishi kwa mda mrefu ,mme wake akaanza kumnyanyasa,kumpiga,na kumtishia kuuawa,.Hatimaye huyo mwanamke alifukuzwa,na huyo mwanamme akaamua kuoa mwanamke mwingine.je...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.