Nani kakudanganya idea ya UDOM ilianzishwa na Kikwete?
Unasahau pia ujenzi wa UDOM ni michango ya hifadhi za jamii ambapo bado kuna ugomvi mkubwa wa namna ya kuzirudisha?
Utawala wa kikwete hakuna jema kubwa analotakiwa kuenziwa jina lake (Ni ktk utawala wake amani haipotena, Wizi mkubwa wa...
Mimi kichwa kina uma hapa, wako wapi Tigo, voda, airtel na wengine?
hata mimi nina ugonjwa huohuo kwenye red! Kwa michanganuo na taarifa za mwaka (annual finacial report) za makampuni ya cm TZ ni siri???? kama ni siri , je Taarifa za kodi zao pia ni siri????? Hili linchi linanuka nuka rushwa...
KHAAA! Unafananisha na daladala?? Hakuna mtu mdogo mwenye ujasiri wa kufanya biashara ya hatari kubwa kama hiyo.Mali za MABILIONI tena yanavyuka mipaka yenye kila aina ya ukaguzi! Hatakama unamapenzi na serikali ya ccm jaribu hata kufungua akili zako za akiba! Sio ushabiki kwa maslahi yako hizi...
Nilimaanisha hizo kasoro ni za kufanyiwa kazi haraka, Na sio kutake adavantage kuwa kusiwepo na hizo system.Pia sikumaanisha technolojia inapunguza watu nilimaanisha Technolojia inadhibiti wizi.Mfano zamani mabenki yalikuwa yanafanya shughuli zake mannualy, wizi ulikuwa mkubwa.TRA walmetuletea...
Watazunguka kila kona na kila misamiati lakini watanzania hatutawaelewa.Tatizo kubwa kwenye hii kashifa inahusu maraisi na mawaziri.Ni chombo gani huru cha ndani kitakachoweza kushughulikia hii scandal?
Kwa taarifa yako Duniani hakuna usiri wa zaidi ya mtu mmoja hasa zikihusishwa na mambo ya kisiasa!Taasisi za fedha duniani ni watu na sio JIWE au CHUMA useme hawaoni,hawasikii au hawatendi.
Kila binadamu amezaliwa na akili. Ila Mtu mwenye akili zaidi ni " PROBLEM SOLVER faster and accuracy" Mtu anayeweza kutatua mambo mbalimbali kwa ufasaha na haraka (Kielimu, Kimaisha etc) Ndio maana watu watu husema anaakili kama computer
Hii mifumo ya kitechnologia (Automation) kwenye idara za serikali imekata maulaji ya waajiriwa wengi.Ni lazima waikosoe na walie nayo.Kila kitu kikiwa kwa system mwanzoni kinausumbufu ila mtazoea tuu baadae mtakuwa kama nchi nyingine.Mannually serikali inaibiwa sana na usumbufu kwa wateja pia.
Wala usijisumbue sana, Labda kama wewe ni Dr au Unandugu yako mwenye taaluma ya udaktari.Anayeweza ku establish kuwa daktari ni mzembe ni watu wenye taaluma hiyo Na nafahamu pia wanalindana sana.Unaweza ukapewa lundo la misamiati ya kitabibu juu ya kifo cha mgonjwa ambayo hutakaa uelewe.Kwa nchi...
Kwanini Zitto anaongozwa na falsafa ya KUJIJENGA YEYE BINAFSI kisiasa? Anaugonjwa mkubwa wa kutofanya kazi kama TEAM WORK.
Kauli na matendo yake haweki link yeyote kwa kukuza Chama chake.
Wandugu naomba msome hii taarifa ndio mjue nchi yetu imeoza
KAMPUNI ya uwakala iliyosafirisha kontena lililokuwa na meno ya tembo ambayo yalikamatwa nchini Vietnam, inamilikiwa na Mjumbe wa Kamati Kuu (CC) ya CCM, Abdulrahman Kinana, imefahamika.
Taarifa zinaonyesha kuwa Kinana anamiliki hisa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.