Being single does not mean no one wants you, it just means that God is busy writingyour love story. So have patience, may you soon get the Love of your Life
samahani, nauliza kuhusuk ugawa mirathi(mafao ya kazi ya kila mwezi) kwa asilimia kwa wanafamilia, je kuna umuhimu/ulazima na kama kuna madhara ni yapi.
Nb. Familia ni ya mjane mmoja ila kuna form ya mfuko wa jamii inahitaji hayo
je? kuna sheria yoyote inayo mfunga mtu aliyeishi na mwanamke takribani 2 bila kuwa na legal document kama wameoana. na endapo mwanaume akiamua kumuacha kuna sheria yoyote inayomulinda mwanamke kudai fidia, na fidia itakuwa kiasi gani.
kuna ndugu anahitaji msaada wa mawazo yamemkuta.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.