Habarini wakuu..
Tafadhari aliewahi kufanya written interview Utumishi hivi karibuni zinakuwaje?
Manake kila mtu anasema yake tafadhari naombeni nisaidieni.
Wadau habarini!Kwa yoyote mwenye ndugu yake ambae ni Graduate mwenye experience ya Blasting kwa miaka mitatu na zaidi anahitajika haraka sana kwa kufanya kazi kwa muda.
Kazi yenyewe iko Rwanda Kwa hiyo mwenye nia ya kwenda kufanya kazi kama Mining Engineer in Blasting please This is my email for...
Wadau stamico wametangaza kazi tangazo tumeliona...lakini naombeni kwa anejua kiwango cha mishahra by figures kwasababu wametoa scale zao kama hizi
SMC 2
SMC 3
SMC 4
SMC 5
SMC 6
SMC 7
Jamani naombeni msaada kwa hilo wakuu!!!
Jamani kuuliza si ujinga..Nimekuwa nikisumbuliwa na watu wengi juu ya neno "TRANSCRIPT"naomba kujua zaidi maana yake especially kwa wahitimu wa vyuo mwaka huu ambao hawana vyeti....
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.