Habari wanajamvi. Nilikuwa mwajiriwa wa katika sekta ya elimu kwa muda wa miaka saba then baada ya kujiendeleza nikahamishia ajira yangu kwenye moja ya taasisi za serikali ila sasa nataka kurudi kwenye ualimu nifanyeje kwa wale wenye kujua pls.
UZALENDO NA MAADILI YA TAIFA
UTANGULIZI.
UZALENDO ni ile hali ya mtu kuipenda na kuithamini nchi yake na kuweka maslahi ya taifa lake mbele. Uzalendo ni neno dogo lakini maana inayobebwa na neno uzalendo ni kubwa.
Elimu ya uzalendo ni elimu ambayo imekosekana kwenye jamii yetu...
Mimi mwlm wa shule ya sekondari Kayenzi iliyoko Manispaa ya Morogoro natafuta mwl wa kubadilishana nae yeye aje Manispaa ya Morogoro mimi niende Manispaa ya Temeke jijini Dar.
Nina miaka saba kazin nina TSD na nimethibitishwa kazini. Mwenye interest tuwasiliane pleas
Mimi mwlm wa shule ya sekondari Kayenzi iliyoko Manispaa ya Morogoro natafuta mwl wa kubadilishana nae yeye aje Manispaa ya Morogoro mimi niende Manispaa ya Temeke mkoani Dar.
Nina miaka saba kazin nina TSD na nimethibitishwa kazini. Mwenye interest tuwasiliane please.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.