kwanza pole sana kwa tatizo la jicho lako mungu atakusaidia utapona nakurudi nyumbani salama
2.. hongera kwa kauli nzuri hiyo ya kukemea rushwa kwani tunaitaji mtu mwenye maamuzi magumu kama yako
na wewe ndio tegemezi letu saivi
atakama nipo chadema mim nakupa kurayangu kuniongoza...
duu mwakiembe kweli mungu alijua wewe ndie mkombozi wetu ukapona natunazidi kukuombea
hilo treni linavyo tutia mzuka mungu wangu
huyu ndie anatakiwa awe raisi atatuletea ndege kweli nimelipanda leo daaaaa kama mbele vile ubarikiwe kiongozi wetu
acha unafiki ndugu unakua kama sio mzalendo tumia wewe basi kama unaona mbowe anafaidi
wewe usiruke mkoa wakilimanjaro tutaondoka nashingo yako
na nikwanini usimpige picha kama sio umbeya >?
hongera serekali kama hii tarifa ya kurejesha nyumba zilizouzwa zirejeshwe basi hapo nijambo la maana ila inabidi waliouza nao waazibiwe kwani saivi serekali wanapata tena hasara kuzinunua tena upya
mr makongoro mahanga sisi na wapiga kura wako watabata kagibu na chuo cha sent mary hii barabara imekua shoti kati sana kwa watu wanao enda mawezi ama segerea je nilini utatukumbuka kwa kuipanua nakuipiga lami ?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.