Mayai yawe na sifa zifuatazo:
1. Yasiwe ya mviringo. Chagua mayai yenye nca
2. Yasiwe makubwa sana, na yasiwe madogo sana. Yawe ya wastani.
3. Yasiwekwe/yasikae kwenye joto kabla ya kuanza kuatamiwa.
4. Weka mayai ambayo kuku anaweza kuyafunika yote. Yasitokeze nje. Yote yaenee kwa kuku.
5...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.