Si tamaa, mara nyingi mume anapokua na elimu ndogo, kumuelewesha/ kufanya maamuzi ni shida kitu hata kama kina faida anaona unamdharau, samahani kwa kukukwaza.
Habari zenu wana JF.
Jamani maisha ni safari ndefu na yanahitaji ustaamilivu na ujasiri. Napenda kuchukua fursa hii kwa mara ya kwanza kujitokeza katika jukwaa hili ili kuweza kupata mwenza ambae atakuwa mume kama M/mungu ataleta heri. Kwa aliye na nia ya dhati haswa naomba tuwasiliane kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.