Jamani kwani Lema kajificha wapi mpaka polisi washindwe kumkamata, au intelijensia ya Tanzania haina ushirikiano na ya UK? Vitu vya kutunga tuwe makini ,unaweza kudhani unamchafua mtu kumbe unamuongezea umaarufu kama alivyofanya Mkuu wa Mkoa Arusha
Jamani kuweni makini ,Hii barua ni ya kughushi mnaumiza vichwa vyenu bure kwa kujibu na kuchangia kitu cha kutunga, Hivi kweli barua ya kiofisi ndivyo inavyoandikwa bila kumbukumbu wala kusainiwa?
Sent from my BlackBerry 9360 using JamiiForums
Mimi hapo ndipo ninapowapenda Waarabu, mwanamke hakuna kufanya kazi, tofauti na kuniburudisha na kuzaa. Ona sasa mmekaa miaka mingi kwa amani lakini kupata kazi tu mbwembwe zinaanza, Achisha kazi na endelea kuchapa mimba, hakuna kutoka ndani hata kwenda dukani ,nyaambafu!!
Sent from my...
Jamani mbona hizo picha hazina tatizo labda mletaje a point out kuwa ni nini cha kushangaza maana wote wako katika hali ya kuogelea na pia kuna aina tofauti za swiming costume
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.