Dah kumbe tunatofautiana sn kufikiri, Kama mtu ambaye ni msomi (kama haukudanganya maana hii mitandao) anaweza kutoa tangazo la kutafuta mchumba hapa jm, Its tiresome! Hongera Bana.
Vyama vya siasa mnatakiwa kuwa makini sana na hawa watu wanaokosa madaraka na kuhamia chama cha siasa kingine. Mara nyingi hao watu hawapo kwa maslahi ya Wananchi, wapo kwa maslahi yao binafsi. Mfano mzuri ni Shibuda. Kwa mtu yeyote anayefuatilia siasa utagundua tu yule mtu si kwa ajili ya...
Huyu Eng alikuwa kero kubwa sana kiasi kwamba migao yote ilikuwa sababu yake na umeme wa dharura ulikuwa sababu yake pia. Ingekuwa china angenyongwa, Kwa vile ni bongo bora afikishwe mahakamani ili apunguze fedha zake za ufisadi hata kwa kuhonga au kuwalipa mawakili.
Bila kuambiwa umbali ni ngumu kusema kama nauli ni kubwa ama la...naona tumeshakuwa wapinzani wa kila kitu...How can we judge fares without references to distances?
Yaani wewe ndo umefikiri. Inaweza kuwa 700 au 800 kwa siku nzima kwa maana ukishakata ticket we unasafiri tu kwa sku nzima...
Mkubwa ukifikiri sn na ukajaribu kudadavua jinsi nchi inavyopelekwa unaweza kukaa chini ukalia sn. Cake ya nchi hii inaliwa na watu wachache sn na ambao hawafanyi kazi za kuendeleza nchi ndomaana inatuuma sn. Ukifanya kazi ukala angalau basi tutafumba macho. But hii mijitu ni kukusanya tu bila...
Hii nchi haina usawa hata kidogo. Unapofikiria kuondoa rushwa unatakiwa kufikiria kwanza kujenga mazingira ya kuondoa hiyo rushwa kwa wala rushwa. Jaman hebu tujaribu kuchangiana mawazo kidogo juu ya mifumo ya Tanzania. Inapotokea serikali moja kuajili watu wenye elimu sawa katika taasisi mbili...
Yaani vijana tusipo inusuru Tanzania kwa haya yanayotokea cjui tutakwendaje! Naibu waziri wa elimu anaaibisha Taifa kiasi hicho vipi layman? Its terrible 4 sure. Inasikitisha sn. Jk badilika tumechoshwa na hizi aibu jaman duh.
Jaman CDM hivi kipi bora Mponda ashikiliwe machafuko yaishe au aachiwe machafuko yaendelee? Ss nchi imekwisha kama hata wa2 tunaowategemea kusema ki2 cha kuleta amani wanachochea machafuko hali ni mbaya. Hebu jaribuni kuongea mambo ya maana na sio uchochezi kwa nia ya kuwarob watu flani...
Yaan kama Agent ni Public Service Management uchuro mtupu. Niliwahi kupeleka Applictn yangu kabla ya deadln wakachomoa kwamba hawapokei tena. Ilinikera sn.
Kwa hali hii ss itafika point wakristo watachoshwa na matendo wanayofanyiwa na wenzetu waislam na hapo ndipo nchi itakapoingia kwenye machafuko. Kama ni dharau wenzetu wametudharau vya kutosha kiasi kwamba ss wanatuwekea vidole machone. Mm nashukuru serikali kwa hatua zinazoendelea kuchukuliwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.