Ndugu zangu wana JF, habari zenu.
Hii kasi ya mshkaji wa mambo ya ndani kwa kweli inamaanisha jambo kubwa sana.
Inaonyesha wazi na dhahiri kabisa kwamba Mwigulu alipwaya na hakuitendea haki nafasi ya waziri wa mambo ya ndani. Hata mh Rais hakukosea kubadilisha safu yake ya ushambuliaji na...
Imetamkwa mubashara hivi sasa kupitia kwa Waziri Mkuu wa Tanzania akihutubia hadhara ya watanzania waliojitokeza kufanya usafi maeneo ya osterbay na masaki hadi coco beach Jijini DSM kuadhimisha siku ya mashujaa waliopigania Nchi yetu hata kupoteza maisha yao.
Waziri Mkuu amesema kuwa Serikali...
Utafiti unaonyesha kuwa kwa kipindi cha miaka miwili na ushee tangu CCM iingie madarakani na kuunda serikali, chama hicho kimezidi kuimarika mara dufu zaidi tofauti na ilivyokuwa 2015.
Utekelezaji wa ilani unaofanywa na Serikali yake, utatuaji wa kero za wananchi, ukaribu wa chama hicho na...
WALIOPITISHWA NA CHAMA KUGOMBEA UENYEKITI WILAYA ZA MKOA WA SINGIDA.
A. SNGIDA MJINI
1. Lucia Mwiru
2.Hamisi Nkulungu
3.Athumani Fimbo
4.Kundya Rajab Kundya
B. MKALAMA
1.Hawa Mawele
2.Dr Charles Mgana
3.Mpazi Paulo
4.Lameck Itungi
C. MANYONI
1. Geofrey Caratta
2.Jumanne Makhanda
3.Elia Nolo...
Hivi karibuni kulikuwa na mada hapa ikielezea aina za chadema zilizopo sasa hivi, ilitajwa Chadema asilia, chadema madaraka, chadema CCM, chadema masalia nk. leo ningependa tuumize vichwa kujua hivi ni nani hasa ambaye endapo chadema itamsimamisha kugombea urais ataweza kupambana ipasavyo na...
Huo ni ujumbe muhimu sana kwenu jioni hii. TZ haihusiki na figisu zenu, ibianeni, piganeni fanyeni yote mmalizane salama, msitafute mchawi. sisi na yetu na nyie na yenu. kila mmoja na lwake
Kama mada inavyojieleza, sababu hasa ni ubabe, umangimeza, udikteta, umwinyi, umwamba na ubinafsi wa Mbowe na viongozi wengine wa kitaifa wa CHADEMA.
Pia sababu nyingine ni utekelezaji bora wa sera na ilani ya CCM unaosimamiwa ipasavyo na rais aliyepo madarakani.
Hili halipingiki na liko wazi, halina ubishi, halihitaji kujadili. Anayebisha hajielewi, tumsamehe bure.
Ukweli ni kwamba, CCM kwa sasa iko kwenye peak kuliko wakati mwingine wowote ule, inapaa, inang'aa na inakubalika kila mahali, kila kona.
Moja ya mambo mazito na makubwa ambayo ccm...
ametoa agizo hilo katika hotuba yake akiwa katika ziara ya siku tatu mkoani pwani.amesema ni marufuku mfungwa kulala na kutoka gerezani akiwa na kitambi, wafanye kazi ngumu ili waogope kwenda kwenda huko, na wakienda huko gerezani wajifunze uchapakazi na pia wafanye kazi za uzalishaji mali...
Ni live jioni hii kutoka Bagamoyo, rais wa nchi Dr. John Pombe Magufuli anazindua barabara inayotoka Bagamoyo hadi Msata yenye urefu wa km 63. hongera sana mheshmiwa rais. kwa sasa wananchi wanaotoka mikoa ya Kaskazini kuingia na kutoka Dar hawana ulazima wa kupitia Chalinze.
NAPE KUHAMIA CHADEMA?
TAARIFA za uhakika zinasema kuna mazungumzo ya mara kwa mara kati ya mbunge wa Mtama Nape Nnauye na baadhi ya viongozi wa Chadema wakimshawishi kuhamia chama hicho.
Mmoja wa viongozi hao ni Edward Lowassa jambo ambalo tayari mwenyewe amethibitisha kupitia mkutano wake...
Nimemsikiliza Zitto Kabwe wakati akichangia bungeni asubuhi kuhusu matukio ya watu kutekwa na kupigwa. Moja ya matukio aliyozungumzia ni kuvamiwa kwa mwandishi Absalom Kibanda.
Zitto amelitaka bunge kuunda Kamati maalum kuchunguza mambo hayo ambayo kwa mchango wake anaonekana kuyahusisha moja...
Nilikuwa sijui TISS ni nini ila jana nimedadisi nimeambiwa taasisi hii ni chombo huru na nyeti sana kisichojihusisha na siasa, ambacho kazi yake ni kulinda amani na usalama wa nchi na kusimamia misingi ya utu usawa na haki.
Pia Kazi yake kubwa sana ni kuhakikisha uchumi wa nchi unakua na...
Ukweli ni huu,
Wakati katibu mkuu wa CCM akiwa Wilson Mukama, Nape alikuwa Katibu Mwenezi. Hawakufanya cha maana na hawakuwa wabunifu wala watendaji kazi ipasavyo na CCM iliendelea kuonekana kituko mbele za jamii.
Alipoondolewa Mukama akakabidhiwa kijiti hicho Comred Abdulrahman Kinana, Kanali...
Kama mtakumbuka Miaka ya nyuma kidogo Nape alisababisha vurugu kubwa sana pale umoja wa vijana akiwa mjumbe wa baraza kuu la UVCCM hadi akavuliwa uanachama, Records zipo.
Baada ya muda mrefu kidogo J.K akampa ukuu wa wilaya ya Nanyumbu. Ikumbukwe kuwa marehemU mzee Nnauye na Kikwete Jakaya...
Mbunge wa singida kaskazini lazaro nyalandu kwa kuwatumia vibaraka wake ambao ni mwenyekiti wa halmashauri ya wilaya ya singida Elia Digha na mwenyekiti wa CCM wilaya ya Singida vijijini Narumba Hanje wameendelea kuiyumbisha halmashauri kwa kukaidi maagizo ya serikali na uongozi wa mkoa ambao...
Hili ni wazo huru zile radio, magazeti, vituo vya television ambavyo havina dira wala mwelekeo ambavyo kazi yake ni umbea umbea futaaaaa piga marufuku.
Pia nyumba za ibada ambazo zimegeuka wapiga kampeni wa kisiasa na kushabikia maovu futa piga marufuku.
Hatuwezi kugeuka kuwa taifa la kulialia...
Ni shidaaa!! huyu ndio rais wa watu. Rais Magufuli amepanda mwendokasi kutoka moroko jijini Dsm hadi Ubungo mataa ambapo anazindua flayover ya ubungo mataa. Lengo la mh Rais ni kutokuwasumbua wananchi kwa kusimama kumpisha,wanaoenda kwny shughuli za ujenzi wa taifa.
RAIS AMESHAFIKA UBUNGO NA...
Siku zinahesabika tu sasa hivi ili kumkabidhi nchi mzalendo wa kweli Tanzania ndugu Magufuli.
Ole wenu mafisadi, ole wenu majizi, ole wenu wazembe na wapiga dili.
Haya ni matokeo ya utafiti binafsi niliofanya tangu vyama viteue wagombea wao. Baada ya kuuliza maswali wananchi 2000 kutoka mikoa yote ya tanzania. Maswali yalikuwa hivi.
1.umejiandikisha kupiga kura oct 2015?
2.utampigia kura nani?
3. Mgombea gani hana dosari na ni muadilifu na mchapakazi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.