Search results

  1. H

    CHADEMA vipande viwili

    Hatimae CHADEMA yameguka vipande viwili kuelekea uchaguzi has a nafasi ya mwenyekiti Taifa. Kumetokea makundi Mawili hasimu moja linajiita Tano tena ambalo inadaiwa linaongozwa na vijana watiifu wa Mbowe na walionufaika na Chama na kundi LA pili nikundi LA vijana ambalo linahitaji mabadiriko ya...
  2. H

    CHADEMA Wilaya ya Rungwe yapinga maamuzi ya Mwenyekiti taifa

    Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Taifa kupitia kamati kuu kwa sauti moja walikubaliana kujitoa kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa unatarajiwa kufanyika tarehe 24 mwezi huu. Lakini cha ajabu ni kwamba Wilaya ya Mkoa wa Mbeya wamekaidi maagizo ya Mwenyekiti na...
  3. H

    Sugu kuenguliwa kura za maoni

    Tetesi zilizopo ndani ya CHADEMA zinasema nilazima sugu aenguliwe kwenye kura za maoni kutokana na vijana kuona kwamba mambo waliyotegemea kufanywa na sugu kushindikana. madai ya msingi ni kwamba amekua mbali na vijana waliojitolea mda na mali zao kuhakikisha anashinda uchaguzi wa 2010 na...
  4. H

    Uhamisho December 2012

    Jamani tunaomba kujua kwa tulioomba kuhama mwezi wa kumi na mbili 2014 mbona kimya? tujuzeni wenye taarifa
  5. H

    Kikomo cha CHADEMA Mbeya Mjini ni 2015

    Mwisho wa CDM mbeya mjini ni 2015 hii inatokana na fitina za MWAMBIGIJA na uongo wa msanii SUGU jimboni,wakati wa kura za maoni kiwira motel sugu aliahid atapokua mbunge atahakikisha anafanya show ili hizo pesa ziwasaidie vijana wa mbeya lkn hadi sasa hajatekeleza,pili aliahid kwa wazee wote wa...
  6. H

    Kinana kufanya mkutano mkubwa Nduguti wilaya ya Mkalama

    Katibu mkuu wa chama tawala leo hii anafanya mkutano mkubwa wilayani hapa na kumpoke kijana mamachari katika siasa EXAUD YESASA ambaye ni miongoni mwa vijana wachache jasiri walioanzisha jumuiya ya vijana wa chadema CHASO chuo kikuu cha dar es salaam. Pia katibu anatarajia kuwaambia wananchi...
  7. H

    Hongera kwa Chama cha Mapinduzi wilaya ya Mkalama mkoa wa Singida

    Mkalama ni wilaya mpya ambayo mara ya kwanza ilikua iramba,chini ya CCM wilaya hii ambayo ilikukua na miundo mbinu mibovu lakini kwajitihada za CCM zakuwaletea wananchi wake maendeleo imeboresha miundombinu kama barabara kitu kinachofanya wilaya yetu ifunguke hasa baada ya ujenzi wa daraja la...
Back
Top Bottom