Wanandoa waliodumu zaidi ya miaka 20 wamebainika kuwa na ugonjwa wa Kisukari, utafiti unaonesha waliugua kwasababu ya majina wanayojiita kama; my Honey, my Sweet, my Hot Chocolate nk. Plz mkinge mpenzi wako na Kisukari kwa kumuita my Klorokwn, my Sifongo.
Kwanza hata ukichunguza hao wanaowaita WAHESHIMIWA si kweli kuwa wanamaanisha so mi nadhani ni UWOGA NA UNAFIKI tu ndio unaotusumbua kwani hakuna sehemu ktk Katiba au popote panapotaja kuwaita watu fulani ni waheshimiwa. Pia hakuna adhabu wala faini 4 It.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.